Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vatican ni nchi, Tanzania ina mamlaka kamili ya kumrudisha nyumbani balozi wake Uingereza hata kama ana viza ya miaka 10.Sio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aende arudi kivyake sio?Vatican in nchi, Tanzania INA mamlaka kamili ya kumrudisha nyumbani balozi wake Uingereza hats kama ana viza ya miaka 10.
Ndio maana yake.Aende arudi kivyake sio?
Ume assume kuwa amefukuzwa kwa sababu anaishi bila kibali?Sio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo barua wala haijawa addressed jf; ni huyo mwanzisha mada kaamua kwa sababu zake kuileta humu bila kuambiwa.Ilikuwa lazima atutangazie? Jinsi alivyomleta bila kutangaza, angemrudisha hivyohivyo
Sahihi kabisa, acha ibaki hivyoNdio maana kanisa katoliki halina migogoro ya kipumbavu pumbavu. Hapo ingetajwa sababu tu ingeleta mambo mengi sana bora iachwe ivyo ivyo
Huwezi jua alishaonywa mara ngapi.Kanisa halina fungu la msamaha tena?
Kanisa Katoliki lina mamlaka makubwa kuliko serikali yoyote dunianiSio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kuwa amekuja bila taarifa kwa jimbo.Ilikuwa lazima atutangazie? Jinsi alivyomleta bila kutangaza, angemrudisha hivyohivyo
Sio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia kisa cha Galileo Galilei aliyesema dunia ni duara huku kanisa Vaticano likiwa na msimamo dunia ni bapa, halafu fuatillia kisa cha Martin Luther kujitenga na Vatinano na kuanzisha Lutheran church huku akitowa sababu 105 kama sikosei.Kanisa halina fungu la msamaha tena?
Vyote hapo juu vyaweza kuwa majibu sahihi.Kisa? Au tuwaachie wenyewe?
Eidha anafanya biashara za magendo, wake za watu au ana kiburi akiagizwa au kala hela za taasisi?
Bila Kanisa Catholic kumdhamini, asingepewa visa ya kufanya kazi na kuishi Tanzania. Mdhamini wako akijitoa automatically na visa finito, bastaSio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Taarifa ikufikie kuwa hili ndilo tamko lililotolewa na Chancellor Fr. Vincent Mpwaji wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, japokuwa kisa hakijatajwa lakini hizi ndiyo taarifa za uhakika kutoka katika kanisa hilo, jisomee mwenyewe uone
Inasomeka hivi...
Waheshimiwa Mapadre Wote,
Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
YAH: TAARIFA MUHIMU KUHUSU PD. CHRISTOPHER FOSUDO
Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu.
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwaichi OFMCap anatoa taarifa kwamba Padri Christopher Fosudo kutoka Nigeria ambaye alikuwa anahudumu hapa Jimboni kama Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni, hatakiwi tena kuwepo hapa Jimboni Dar es Salaam. Hivyo Askofu Mkuu amemuagiza Padri Fosudo anudi nchini kwake Nigeria.
Fr. Vincent Mpwaji,
Chancellor- Jimbo Kuu la Dar es Salaam
Rome acheni iitwe Rome..
#MaendeleoHayanaChama