Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni (Dar), Christopher Fosudo afukuzwa nchini, Askofu Mkuu atoa maagizo

Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni (Dar), Christopher Fosudo afukuzwa nchini, Askofu Mkuu atoa maagizo

Yaleyale ya kina father Privatus karugendo. Alifukuzwa na kanisa kwa ajili ya aina ya mafundisho yake kwa waamini. Kwa mfano alikuwa akitetea matumizi ya condom wakati kanisa lilipinga kwa nguvu zake.

Aende tu. Kama kanisa limeona hafai, basi hamna namna aende tu.
 
Kisa? Au tuwaachie wenyewe?

Eidha anafanya biashara za magendo, wake za watu au ana kiburi akiagizwa au kala hela za taasisi?
Vyote hapo juu vyaweza kuwa majibu sahihi.
 
Sio uhamiaji ndio wenye uwezo wa kumfukuza mtu nchini? Angemsimamisha kazi na uhamiaji ifanye kazi yake.
Bila Kanisa Catholic kumdhamini, asingepewa visa ya kufanya kazi na kuishi Tanzania. Mdhamini wako akijitoa automatically na visa finito, basta
 
Taarifa ikufikie kuwa hili ndilo tamko lililotolewa na Chancellor Fr. Vincent Mpwaji wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, japokuwa kisa hakijatajwa lakini hizi ndiyo taarifa za uhakika kutoka katika kanisa hilo, jisomee mwenyewe uone

Inasomeka hivi...

Waheshimiwa Mapadre Wote,
Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

YAH: TAARIFA MUHIMU KUHUSU PD. CHRISTOPHER FOSUDO

Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu.
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwaichi OFMCap anatoa taarifa kwamba Padri Christopher Fosudo kutoka Nigeria ambaye alikuwa anahudumu hapa Jimboni kama Paroko Msaidizi wa Parokia ya Magomeni, hatakiwi tena kuwepo hapa Jimboni Dar es Salaam. Hivyo Askofu Mkuu amemuagiza Padri Fosudo anudi nchini kwake Nigeria.

Fr. Vincent Mpwaji,
Chancellor- Jimbo Kuu la Dar es Salaam


Kuna tetesi fulani fulani tangu yule padre alokutwa kafa mazingira y kutatanisha!!! any way ngoja niishie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom