PART 1: Hawa hapa watu wanaomchukia na kuchukia utawala wa Rais Samia

Ukiona mtu anamsifia SSH jua ni mpigaji manake kipindi cha mwendazake walikua na maisha magumu sana.
Mpigaji halafu kibaraka wa mabeberu si ndio?
Zile Trilioni 9 alizokopa Magu tunataka mahesabu yake ndio tutajua nani mpigaji.

Viva Nape.
 
DU KWELI UJINGA NI MZIGO MZITO KAMA ZIGO LA MAVI! 🤣🤣🤣 " bora kutumia pesa kufuga NGURUWE, kuliko kusomesha " watu wenye Kariba kama hii....🤣🤣🤣✋✋✋
 
Uongozi jf,
Nashauri tusaidiane kuangalia namna tunavoweza incorporate artificial intelligence kuchuchaja baadhi ya nyuzi za ......, Ili kubakiza zile zenyé chakula cha ubongo.

Hili la mtu kujiandikia page 2, ukisma unatafuta point lakini wapi?!

Mwisho una- conclude kua nyuzi hii ni hewa tupu! Lakini unakuja umepoteza
Muda.
 
Shemeji upo?

Nipo tele

Nawashangaa watanzania wanaomchukia rais kwa kutowafanyia kile ambacho wao wenyewe hawataki kujifanyia.

Halafu nawashangaa zaidi kwa kushindwa kujua hamna kitu wanaweza fanya kwa kumchukia ila vipo vingi wanaweza fanya kwa kushirikiana nae kwenda kule wanapotaka

WACHA KAZI IENDELEE
 
Hamna kitu hapa
 
Hawa ndiyo viongozi sasa,mapaka lazima yachukiwe.Samia please usigombee kipindi cha pili kulinda heshima yako.
 
Unatembea unachuruzika manii mtoa mada hivi Samia naye Ni prisidoooooooooooo eti?
 
Sikukusoma uliyoandika humo ndani, mbali ya "Utangulizi wa mada yako na hivyo vichwa vya habari ulivyokoreza na kuviita "makundi".

Hii tayari imekwishakushinda. Utamwitaje mtu kuwa "Ameshindwa na Maisha", kwa mfano. Wewe ni "Mchawi"?, kwa maana tayari unaonyesha una "Roho Mbaya"!

Hii ni mada ya kipuuzi.
 
Sikujua kama unaweza kupoteza muda kuandika takataka kama hii eti utafiti? Bichwa maji
 
Samahani Mkuu lakini hii ni sawa na propaganda za udumazi na uzandiki....Tunaona zilipoanzia na zinaelekea wapi.

Mungi ibariki Tanzania.

Mshndwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…