Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
unajua cheni ya kiunoni ?Swali lako hata halieleweki
Hebu liweke vizuri basi ili tukujibu
kwani mkufu hauwezi kuwa na raundi mbili mkuu?ya kiunoni itakuwa na round mbili
zawadi ni nini kwanza??
Sasa hilo ni swali gani?unajua cheni ya kiunoni ?
mkuu twende kwenye mada bna mi cheni sijaanza kuvaa leo nimevalishwa toka nipo mdogo .si unajua zinasaidia kutoa shepuu?Sasa hilo ni swali gani?
Au unataka tujue kwamba siku hizi unavaa cheni kiunoni badala ya shanga.
Unanikumbusha zamani nikiwa shuleni visichana vikicheza mchezo wao wa rede vinafunua sketi zao tuone kama vina chupi mpya vikiwa na zilizotoboka wala haviruki sarakasi.
Mostly chen ya kiunon ni nyembaba na pia ina ukubwa fulan ambao kwa shingon lazma izunguke mara mbili
jibu swali utaelewa au hutaelewa?Nitagundua baada ya kuona kiunoni hakuna cheni, pia naweza jua kwa kuangalia size ya cheni na idadi yake za shingoni
Mwisho ondoa mambo ya ku assume kwani kipindi tulichonacho tu tulia ssume vipi magu akiwa rahis sasa hali halisi wote tunaiona sasa habari za kuassume hizo ipo siku utatuambia tuassume mke wangu kaja home na chupi used lakini ya kiume sasa hayo mambo si ya kuassume
asante kwa jibu lako narekodi hapaIdadi haijulikaniki maana hata sijui ni wanaume wangapi watakaomwangalia huyo mwanamke
Acha uongo.mkuu twende kwenye mada bna mi cheni sijaanza kuvaa leo nimevalishwa toka nipo mdogo .si unajua zinasaidia kutoa shepuu?
tuache malumbano wewe jibu swali
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.
Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.
Swali la kwanza;
Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
ahaaaa haki ya mungu naapa ninazo siku nyiiingi sanaAcha uongo.
Cheni umevaa wiki hii hii.
hujaelewa nini?Tuma picha