Part one: Swali kwa wanaume tu

Part one: Swali kwa wanaume tu

Kifungo cha cheni ya shingoni ni tofauti na kile cha cheni ya kiunoni. Kuhusu mzunguko ni vigumu kutambua hilo.
 
kifupi ni kuwa yakiunoni ni kubwa kuliko yashingoni au yamkononi
 
Suwezi hata kuasurme sbb sijawai kuwa wala kukutana na mwanamke mwenye cheni kiunoni
 
Swali lako linauliza NI WANGAPI NA WALA SIO UTAJUAJE KAMA NI CHENI YA KIUNONI AU SIO.
kwa maana hiyo jibu lazima liwe ni namba flani au mjumuisho wa kundi flani kama wote,kwa sababu neno wangapi lenyewe limeshonyesha kuwa jibu linalotakiwa lazima liwe kwenye mfumo wa uwingi kwa idadi lazima ianze mbili.
Kama muuliza swali ungetaka jibu la mtu mmoja mmoja basi ungeuliza ni NANI na si WANGAPI.
Sasa kwa upande wangu najibu kwa kutumia neno WANGAPI.
umeuliza ni wangapi.Kwa mantiki hii ni kwamba unataka uambiwe kati ya watu watakaochangia mada hii ni wangapi watajua? Na kama swali lako lilikuwa hivyo basi hakuna uwezekano wa kupata jibu la moja kwa moja kwani uwezi kumsemea mtu mwingine kama atajua au la,au labda wachangiaji wote watoe majibu na kuwe na muda maalumu wa kutoa majibu hayo ili apatikane mtu ambaye atahesabu idadi ya watu ambao watasema kuwa wanaweza kujua na mwisho akupe wewe idadi ya watu hao.
 
Sasa hilo ni swali gani?
Au unataka tujue kwamba siku hizi unavaa cheni kiunoni badala ya shanga.
Unanikumbusha zamani nikiwa shuleni visichana vikicheza mchezo wao wa rede vinafunua sketi zao tuone kama vina chupi mpya vikiwa na zilizotoboka wala haviruki sarakasi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nitagundua baada ya kuona kiunoni hakuna cheni, pia naweza jua kwa kuangalia size ya cheni na idadi yake za shingoni
Mwisho ondoa mambo ya ku assume kwani kipindi tulichonacho tu tulia ssume vipi magu akiwa rahis sasa hali halisi wote tunaiona sasa habari za kuassume hizo ipo siku utatuambia tuassume mke wangu kaja home na chupi used lakini ya kiume sasa hayo mambo si ya kuassume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tunataka kupima IQ zenu wanaume.

Tunaanza na mambo ambayo mtaona ni irrelevant sana. Msiache kunifuatilia hadi Jumapili nitawapa matokeo yenu.

Swali la kwanza;

Assume mwanamke kachukua cheni yake ya kiunoni akaivaa kama mkufu shingoni au bangili mkononi. Je, wangapi mtaelewa kwamba hii ni cheni ya kiunoni na sio mkufu au bangili?
Kuna tofauti kati ya mkufu na cheni?
Naomba jibu ili nikukokotolee swali lako.
 
Back
Top Bottom