Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unawapangia tena mkuu 🤔🤔, au kwa vile unawanunulia... 😀😀Kama upo ddoma njoo platinum grill Niko nimetulia kaunta ya nnje
Mm nisinunulia watu international bia Zaid sna Ni local bia tu hat ukitaka kreti Ila savnan,heniken sahau
🙂🙂🙂🙂aaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaa
kwa hapa mjini nimekosa kabisa icho kinywajiVipi hujapiga chibuku moja ya mbege🤣
Cheki na utaeona nanafanana kuwa na mwenyeji wa hiyo kitu jirani na ulipo🤔kwa hapa mjini nimekosa kabisa icho kinywaji
wapi naweza kukipata ndugu kwani tulikua tunashauriana apa twende huko kijijini tukachukue walau lita 10 si mbaya
insha’allahJamani muda wako ukifika uta enjoy na kupata mnaeendana
😂😂😂kama mie sijapika nimeshinda naangalia movie na pepsi 😂nasubir kigiza nikatafute cha kula siku iisheHamna hata raha ndugu yangu, heri kuwa mwenyewe una enjoy mara dufu.
Sa ungekuwa upo na mtu, upike uoshe vyombo bado mambo mengine hata furaha ya sikukuu inapotea.😂😂😂kama mie sijapika nimeshinda naangalia movie na pepsi 😂nasubir kigiza nikatafute cha kula siku iishe
Banana ameshaanza kupiga? Nataka nijisogeze hapo....niko hapa juliana na henken kama zote
Mkuu umekaa kwa wapi, tutambuene......Na mimi niko hapa pia...Niko uwanja wa nyumbani Goba kulangwa - Joy es lava, vibe kama lote
kashaingiaBanana ameshaanza kupiga? Nataka nijisogeze hapo....
yaan mtu unajiita mpemba afu akupe locationMkuu umekaa kwa wapi, tutambuene......Na mimi niko hapa pia...
hapa moshi ndio shule ya matapeli nduguCheki na utaeona nanafanana kuwa na mwenyeji wa hiyo kitu jirani na ulipo🤔
Ok...Wacha na Mimi Nijongee taratiiiibu...kashaingia
Anipe location kwa vipi? Naona haujasoma msg yangu vizur... Na Mimi niko hapa Goba Kulangwa - Joyeslava - Nimemuuliza amekaa pande zipi ili tutambuane.....Mimi Niko hapa Counter Kubwa....Mim ni Mpemba; una tatizo na hilo?yaan mtu unajiita mpemba afu akupe location
SanaWaohh!
Nili toka hapo muda mrefu kidogo 2010
Ni wapi huko?Toka nenda white house