- Thread starter
- #101
Wewe si DM zangu hujibu, ungekuwa ukweni saivi, hahaaaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si DM zangu hujibu, ungekuwa ukweni saivi, hahaaaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaa
Sikupingi..mimi ni mshabiki kiraka wa liverpool...ikishinda ndo nahamasika..ila napenda kuangalia tv chanel yao.. 😆 😆Red ya Uingereza nimeishindwa kabisa 😂😂
Aaaah kumbe ni hapo, afu hapo pembeni ni Krista park na sio crystal.Himo restaurant, pembeni na crystal park
Tumekamatwa...haahahNa huyu mleta uzi kaja kuumbua na uzi wake hapa🤣🤣
Nipo Kauli ya Bibi hapa Mlandizi, navizia IT za usiku, niende nayo hadi Zambia.Asalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako.
Karibuni.
Maeneo yako ya kudanga ?Aaaah kumbe ni hapo, afu hapo pembeni ni Krista park na sio crystal.
Yalikua maeneo yangu sana hapo Krista park.
Hili si linatumiwa na ke tuu?Maeneo yako ya kudanga ?
Pambana ya hela yote babulaiDahhh...
Bado sijatoka ndichi, tangu nilipo zama saa kumi na moko alfajiri haki..😪
Toka bhn, nenda kapate four cousin embuNimeshiba pilau nazurura JF toka saa 7 mchana...
Inaweza ikapigwa ki masihara hapa na kauli hio, hahaKaribu tumalizie pasaka
Sogea Rainbow tubanane mjinThe Bistro Nkuhungu.
Tukapimane ubavu na bia
Yani kwakweli leo nipo JF muda mrf mnooo yani nikiacha labda dkk 10 tuu...hahaha..mm sio mtembezi hasa siku za sikukuu mkuu nikishashiba nakaa zangu tuu nyumbani..labda ninywe kidogo dompo maana bia sinywi..naona hata uvivu kutoka..Toka bhn, nenda kapate four cousin embu
wanaogopa katikati ya msosi unaweza kuanza kuuliza kama Yanga watatoboa kweli kule pretoria, hahaWatu wabaya sana tunachekeana kinafiki wakati wa ubweche kimyaaaa🤣🤣
Waohh!Kingolwira Kuna Njia Hadi Tungi Kumejengwa Mpaka Kipera
Cate Hotel Nyuma Kuna Area M Kumejengwa Sana
Ndio akili za watanzania wengi kwa sasa mpira mpk makanisani yaniii....hahaahhwanaogopa katikati ya msosi unaweza kuanza kuuliza kama Yanga watatoboa kweli kule pretoria, haha
Hahahahaha kwann mkuuInaweza ikapigwa ki masihara hapa na kauli hio, haha