Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
World Bank Imejenga Njia Mbili Kingolwira Taa BarabaraniWaohh
Waohh!
Kumbe tungi imeunganishwa na kingolwira, kweli maendeleo huko sio madogo.
One day nitarudi Morogoro aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
World Bank Imejenga Njia Mbili Kingolwira Taa BarabaraniWaohh
Waohh!
Kumbe tungi imeunganishwa na kingolwira, kweli maendeleo huko sio madogo.
One day nitarudi Morogoro aisee.
We acha tu, upweke unasumbua sana mkuu.😂😂 lazima unywe? Em lala huko
Mungu atusaidie kwakweli.
Me nadhani kila mtu afanye kile anachokiona ni sahihi kwa imani yake.Sasa ikiwa hili ndio jibu.. kwann mjitese kufungaa Sasa ? Unashinda njaa ukijua mambo ya Dini ni magumu,?.
Mama mchungaji nakukubali sana, natamani sana unipe muda wako tupate lunch au dinner pamoja. Ikishindikana kabisa hata coffee date sio mbaya. Please let me know kama thats not much of me asking.
Napafamu aisee , nitakatibia mkuu!Karibu, leo sina mood ya kutoka ila kesho mapema sana nipo kiwanja changu cha nyumbani Haris nyuma ya TRA pale, karibu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nampa mtu kile anachopenda kuona na kusikia kutoka kwangu, ili akafurahi na nafsi yakee.Kashasahau [emoji38] uzuri majibu yako huwa hayakeri unamjibu mtu kulingana na alichokiandika hahahah
Mikoani unapata pesa ya kutosha kweli ?Haswaaah, sahivi nadanga kwa mikoa ya wengine.
Asante mkuu, tatizo huyu shemeji yako ananikagua Kila ninapoenda...Mama mchungaji nakukubali sana, natamani sana unipe muda wako tupate lunch au dinner pamoja. Ikishindikana kabisa hata coffee date sio mbaya. Please let me know kama thats not much of me asking.
Yaani ulilala hapo hapo KFC..?? HahaAisee nilikula pasaka yangu kfc Arusha nilienjoy sana nikamalizia na usingizi nimeamka now naenda kuoga nikarareee
Sasa viwanja vya makazi si vitakuwa bei kubwa sana wakati huu.World Bank Imejenga Njia Mbili Kingolwira Taa Barabarani
Nilikuwa diz pub hapo usiku wa janaNiko uwanja wa nyumbani Goba kulangwa - Joy es lava, vibe kama lote
Najua utakuja Christmas, utanichekAaaah kumbe ni hapo, afu hapo pembeni ni Krista park na sio crystal.
Yalikua maeneo yangu sana hapo Krista park.
Kunywa maji sasa 😂😂 uwe busy kususuWe acha tu, upweke unasumbua sana mkuu.
SijuiHili si linatumiwa na ke tuu?
Unaweza ukaja nae pia, hakuna tatizo 🤣🤣Asante mkuu, tatizo huyu shemeji yako ananikagua Kila ninapoenda...
Mawivu mengii...
Tena mikoani ndo wanajua kuhonga balaa wala hawana mbambamba , huko jijini wanaotakiwa kunihonga mie ndo wanataka niwahonge wao, sasa mie hayo naweza wapiii?Mikoani unapata pesa ya kutosha kweli ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza ukaja nae pia, hakuna tatizo [emoji1787][emoji1787]