Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Hata Sasa Unapata Ukiwa Na Cash, Jamaa Yako Sana Zombe Yupo Mkambalani AtakukatiaNitakuja huko sio muda, zamani palikua pakichovu sana!
Ningejua ningemunua hata 20/20.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Sasa Unapata Ukiwa Na Cash, Jamaa Yako Sana Zombe Yupo Mkambalani AtakukatiaNitakuja huko sio muda, zamani palikua pakichovu sana!
Ningejua ningemunua hata 20/20.
Mie nishazoea vurugu vurugu...hapo hapanifai.Sogea Rainbow tubanane mjin
Huko ni kwa wastaarabu, mie nishazoea kucheza mpaka navua nguo babeNjoo capital Park
Lakini bei itakua sio habaHata Sasa Unapata Ukiwa Na Cash, Jamaa Yako Sana Zombe Yupo Mkambalani Atakukatia
Apate heart failure ndo atajua hajui.Tandika huyo mpaka ummalize nyama za utamu.View attachment 2950306
Sisi hatutumii nazi tutakuboa😆Loo! Humu watu wachoyo hatualikani sawa bhna 😫
Haha na msimu huu utakuwa mzuri kwetu kama tukiendelea hivi kwa mechi zote zilizobaki, hao ndugu zako acha wagombee Nafasi ya pili na arsenal, haiwezekani simba inipee stress na liverpool nayo aahh 🤣🤣😂😂 Chelsea hao siku hizi hata hawanibabaishi. Liva sjui walinifanya nini, siwakubali siku hizi.
Mema nawaombea Man city. Forever Blue, ni dark/ light cha muhimu ni Blue.
Hapo mbele tu bajaji buku tatu.Asalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako.
Karibuni.
Shangazi hadi na kwenye mpira upo..?Haha na msimu huu utakuwa mzuri kwetu kama tukiendelea hivi kwa mechi zote zilizobaki, hao ndugu zako acha wagombee Nafasi ya pili na arsenal, haiwezekani simba inipee stress na liverpool nayo aahh 🤣🤣
Ndo wapi sasa hapo mbele..?Hapo mbele tu bajaji buku tatu.
Taxi buku tano
Hapo tu kwenye kona.Ndo wapi sasa hapo mbele..?
Niko VIP apa njooThe Bistro Nkuhungu.
Tukapimane ubavu na bia
Nakuja.Niko VIP apa njoo
Game la kimasihara linaweza likapigwa hapa🤣🤣Nakuja.
Kapotea 😄😄Game la kimasihara linaweza likapigwa hapa🤣🤣
Dakikaa za jioniiii anaweza kutokeaaaaKapotea 😄😄