Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Ni Jambo jema mno , maana ukiangalia kwa UDADISI , ni wanasiasa tu ndio wanaifakamia keki ya Taifa letu kwa maposho posho katika kila Kona, ziara ,kongamano,sijui uzinduzi etc, waone AIBU.
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Kuna watu wanapenda rushwa jamani, hasa wale waliokuwa wa kile chama cha waandishi wa habari enzi za Daudi Mwakawago na Mkapa kilichokufa kibudu kimyakimya. Nakumbuka enzi zile wanapewa bahasha ya khaki, usafiri, chakula na vinywaji na malazi kiasi wakajisahau na kuomba nao wawe muhimili kama lilivyo bunge!
Hebu tuwaone walivyo,
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Balozi Daudi Mwakawago wakati wa mazishi ya Mwanasiasa huyo mkongwe yaliyofanyika katika makaburi ya kisutu jijini Dar leo
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Seif Shariff Hamad wakati wa mazishi ya mwanasiasa mkongwe na mwanadiplomasia Marehemu Balozi Daudi Mwakawago yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar leo jioni.Katikati ni Rais Mstaafu awamu ya Tatu Mh. Benjamin William Mkapa.
Bahasha zilipoyeyuka ninakumbuka yule aliyekuwa kiongozi wao alilalamika sana tena sana akidai wanawatumikia viongozi! Ambao eti wamewatupa! Huyu naye anataka atumie fursa ya kuwapamba wakati wa uchaguzi na waambulie bahasha zilizonona kama ng'ombe wa Uholanzi.

 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 Poti bana.
 
Kuna watu wanapenda rushwa jamani, hasa wale waliokuwa wa kile chama cha waandishi wa habari enzi za Daudi Mwakawago na Mkapa kilichokufa kibudu kimyakimya. Nakumbuka enzi zile wanapewa bahasha ya khaki, usafiri, chakula na vinywaji na malazi kiasi wakajisahau na kuomba nao wawe muhimili kama lilivyo bunge!
Hebu tuwaone walivyo,
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Balozi Daudi Mwakawago wakati wa mazishi ya Mwanasiasa huyo mkongwe yaliyofanyika katika makaburi ya kisutu jijini Dar leo
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Seif Shariff Hamad wakati wa mazishi ya mwanasiasa mkongwe na mwanadiplomasia Marehemu Balozi Daudi Mwakawago yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini Dar leo jioni.Katikati ni Rais Mstaafu awamu ya Tatu Mh. Benjamin William Mkapa.
Bahasha zilipoyeyuka ninakumbuka yule aliyekuwa kiongozi wao alilalamika sana tena sana akidai wanawatumikia viongozi! Ambao eti wamewatupa! Huyu naye anataka atumie fursa ya kuwapamba wakati wa uchaguzi na waambulie bahasha zilizonona kama ng'ombe wa Uholanzi.

Ovyo kabisa.
 
Sawa tunamkubali kuwapa posho lakini kwanza walete credentials zao form four walipata D ngapi, form 6 na transcript za vyuo vikuu

Tutalipa Kuanzia GPA angalau yab point 3

Kwa vigezo hivi hata Pascal mwenyewe hatii mguu
Labda akina Ulimwengu na Ngaiza

Ni aibu mtu kama zembwela kujitambulisha kama kiongozi wa waandishi wa habari
Hivi ndio vigezo vya Kuwa wabunge? una uhakika babu tale anazo hizo sifa hapo Mkuu?
 
Nadhani wakati umefika wasomaji wa magazeti hasa kurasa za michezo na siasa walipwe posho ya uvumilivu.
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINE

View attachment 3155402
Je siyo kweli kwamba anayemlipa mpiga ZUMARI ndiyo huwa anachagua MWIMBO?
 
Msaka tonge anawapigia debe wasaka tonge wenxie akina mwijaku,babalevo na zembwela kingwendu mle kodi yangu hii HAPANA kwa kazi gani huu uchawa wenu.
All the best
 
Back
Top Bottom