Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Mnashindwa kulala kupumzika hekaheka za alfajir siku za wiki au kwenda jumuiya mnaangalia tv tena jicho ambalo linamakengeza
 
Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.

Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.
Kwa kweli ni muhimu sana kijifunza kuweka akiba ya maneno, mtu unayemponda leo, huwezi jua kesho atakuwa nani!.

Hongera Dr. Mpango kuwa Makamu wa Rais na JMT.
Paskali
 
Back
Top Bottom