Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Mpango alimwaga sifa kwa aliyemteua kimkakati, huu ni mwaka wa uchaguzi hivyo anajiandalia mazingira ya kukumbukwa huko mbeleni.
 
Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
ANGEKUA ANALEWA NA KIRA BATA NA VIMADA KAMA USEMAVYO NAZANI LE MUTUZ MEDIA LINGEMUANIKA LIVE
 
Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Ushahidi wa wabunge (CCM) kujadili maisha binafsi upo hadharani.
Tuwekee ushahidi wa maisha binafsi ya KUB yaliyokuwa yakijadiliwa na wabunge (CCM).
 
Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.

Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.

Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa madai kuwa Dr Mpango alizitumia vizuri dakika 60 za mwanzo hivyo hakuna ubaya wowote kutumia dakika 135 zilizobaki kusifiana.
Moses amesema hata Pascal Mayalla mwenyewe katika dakika 10 alizopewa kwenye mjadala huu ametumia dakika 7 katika kusifu na mgeni wake kamwachia dakika 3 tu.

Katika kujibu Pascal amedai yeye husifu kimantiki siyo kama wafanyavyo wale Mataga na wala hatafuti Uteuzi kama rafiki zake wa Jf wanavyomzushia.

Mwisho mwandishi Moses Methew amevilaumu vyombo vya habari na bunge kwa kutumia muda mwingi kujadili mambo binafsi na faragha za Mbowe.

Amesema inasikitisha kuona bunge zima linajadili " maisha binafsi " ya Mbowe kana kwamba Mbowe ndio bajeti ya serikali.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Sikuwahi kudhani Kapuku Pascal ana sekretari hapa jf , maana hata akizungumzia chooni lazima ulete habari zake ! hongera pasco kwa kuwa na katibu muhtasi ndani ya ofisi ndogo
 
umepewa za uso unaleta uzushi ! pascal kutwa kucha yuko jf , kisa cha kuleta mambo yake wakati mwenyewe yupo ni kipi , au hii nayo ni ID yake ?
Kama ni mbunge wangu mtarajiwa pale Kibamba kwanini nisilete taarifa zake?

Viongozi wa Chadema wana maplastiki vichwani by Lwakatare!
 
Kuna mbunge kujadili maisha binafsi ya Mbowe kama Mbowe. Na kuna maisha binafsi ya Mbowe kama KUB ambae ni kiongozi wa umma. Sasa kama kiongozi wa umma ndio anaruhusiwa kulewa chakari na kula bata na vimada, sijui kama inakubalika.
Kwa taarifa yako na wengine wa Kariba yako ni kuwa, Mbowe kawa maarufu Mara dufu na amejadiliwa kuliko bajeti ya serikali! Hii maana yake ni kuwa watanzania wamelidharau bunge pamoja na mijadala yao juu ya bajeti na wamewapuuza mno! Huu ni uchambuzi na mtazamo wa kisomi na ninyi msiojua kupima hoja na perception za watu hamtagundua jinsi baadhi ya viongozi wa ccm mnaodhani wapo pamoja na mwenyekiti kumbe wanampiga na kumharibia kisayansi! Endeleeni kumjaza sifa huku Mbowe akiibuka shujaa wa mioyo ya watanzania!
 
Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.

Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.

Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa madai kuwa Dr Mpango alizitumia vizuri dakika 60 za mwanzo hivyo hakuna ubaya wowote kutumia dakika 135 zilizobaki kusifiana.
Moses amesema hata Pascal Mayalla mwenyewe katika dakika 10 alizopewa kwenye mjadala huu ametumia dakika 7 katika kusifu na mgeni wake kamwachia dakika 3 tu.

Katika kujibu Pascal amedai yeye husifu kimantiki siyo kama wafanyavyo wale Mataga na wala hatafuti Uteuzi kama rafiki zake wa Jf wanavyomzushia.

Mwisho mwandishi Moses Methew amevilaumu vyombo vya habari na bunge kwa kutumia muda mwingi kujadili mambo binafsi na faragha za Mbowe.

Amesema inasikitisha kuona bunge zima linajadili " maisha binafsi " ya Mbowe kana kwamba Mbowe ndio bajeti ya serikali.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Mambo ya ajabu kusema mambo binafsi ya mtu badala ya kujadili maswala ya msingi ya kitaifa
 
Taswira ya ishu ya Mbowe inaonesha namna Bunge lilivyo sheheni mautopolo wa kifikra, very absurd for Tanzania image, we need revised criteria for someone to qualify to contest for an MP seat. Do we really need to become rebels to reform the way we run our issues in TZ? Many of those MPs are womenizers why such nuisance with Mbowe private life?, I can really assume God punishing some of them to death before October,2020. Let's join hands for Mbowe regardless of our political affiliation, let's win smart and wisely. Our Mps portrayal is sowing pandemic for Tanzania.
Spika ni mzigo mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom