Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.
Tanzania inapotea kidemokrasia