Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Kunyamazia persecutions is the best medicine!, hata Yesu pale msalabani, hakupiga kelele!.
P
Usilete mambo ya imani hapa tupo kwenye mambo ya Siasa kwenye hilo uliferi mkuu hata hapa utakataa wakina Stive Biko wangekaa kimya Nchi yao mpaka kesho ingekua na ubaguzi wa rangi kelele zao unaona kilichotokea wewe ulitishwa ukaamua kufata maamuzi yao ulikua sahihi ingawaje maombi yetu yalijibu yule aliekutisha nae alipata aibu kubwa mimj binafsi nilikua upande wako naomba tuishie hapa uzuri upo ok na yalishapita...
 
Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema

Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.

Habari zaidi, soma => Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Naikumbuka hii, Kipindi hicho Ndugai wa moto
 
Back
Top Bottom