Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu MENGELENI KWETU , mimi ni muumini, Mungu ni mwema, ukimuamini na kumtemea yeye, hatakuacha!, hivyo kwenye hili, ni kweli Mungu alikuwa na mimi na hata kwenye hili la sasa, naamini Mungu yuko na mimi na hata niacha!.Mkuu Pascal Mayalla naamini kabisa MUNGU alikuwa na wewe wakati wa hicho kikao.
P