monaco
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,184
- 1,778
Halafu weweeee....basi tuuuILA KWELI MJUE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu weweeee....basi tuuuILA KWELI MJUE!
Hakika ni kama bosi anayetaka kuhoji wafanyakazi wake!cha ajabu waliomuita kumuhoji wanaonekana kama ndo wanaohojiwa.
Ina maana ukiitwa na Spika kuhojiwa wanakulipa perdiem? Kama ni hivyo ngoja ...Acha afaidi perdiem za bunge,.
Abeeee,huku kuna siasa ujueHalafu weweeee....basi tuuu
Sawa....Abeeee,huku kuna siasa ujue
Ona yalivyokaa kumbe mapigaji tuMwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema
Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.
Habari zaidi, soma => Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Hata nami namshangaa huyu ndugu...Paskali wa JF hamujuwi? Yule ambaye walisema kwao jina hilo ni NJAA, badala ya kujibu swali (lenye mfumo wa KITI MOTO).Nimeangalia ‘swali lako’ & avatar yako;kweli mnaendana...unaachaje kumfahamu Pascal mayalla humu jukwaani,au wewe nawe ni ‘kibaraka’ wa kina nanilii!
Kwa iyo gharama za usafiri, chakula,usumbufu na malazi ni za nani?Ina maana ukiitwa na Spika kuhojiwa wanakulipa perdiem? Kama ni hivyo ngoja ...
Wapinzani watataabika bali maendeleo hayatapatikana Mungu yupo na amesikia kilio chenu!Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.
Tanzania inapotea kidemokrasia
Pascal Mayalla sema neneo ndugu upo?
kimyaa sana
Iliishaje hii kesiPole sana Pascali