Congress ya marekani tunaona mara kadhaa waandishi wakiitwa mbele ya Senate kuhojiwa,kuthibitishaWapi kwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congress ya marekani tunaona mara kadhaa waandishi wakiitwa mbele ya Senate kuhojiwa,kuthibitishaWapi kwingine
Pascal Mayalla hongera, Bora wamekuhoji, vipi, nauli Na hela ya kukaa Dodoma walikutumia kwa M Pesa au walikutumia lile Land Cruiser la Kiongozi wa Upinzani Bungeni kukuchukua?
Maisha Bongo is very interesting and adventure
Peleka unafiki wako hukooooooooNasubiria arudi humu atueleze kilichojiri.. si hakuna siri ya mahojiano au?
Na hapo ndio jibu LA alichoandika Pasco kuuliza "jee Bunge linajipendekeza kwa serikali?" Linakuwa ndio kwa vile Spika alishindwa kujibu palepale kuwa hatufanyi hivyo.Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.
Tanzania inapotea kidemokrasia
Sasa wewe unafikiri pasco ni wa chadema?!!Peleka unafiki wako hukoooooooo
Ukiangalia Lugha ya Picha ni kama vile Jamaa anawapiga shule fulani hivi hao wa Mbele yake,
Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema
Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.
Habari zaidi, soma=>Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Nyumbu bana. Sasa hapo Pascal kaonewa Nini? Akitoa maelezo ya kuridhia anakuwa huru. Akishindwa anaadhibiwa. Hapo amepewa haki yake ya kisheria ya kusikilizwa.Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.
Tanzania inapotea kidemokrasia
Usipende kudandia treni kwa mbele,niliemquote hajajibu ss sijajua ww ni nin kimekuwasha mkuu!?Sasa wewe unafikiri pasco ni wa chadema?!!
Ntakufundisha utazoea taratibu,sawa ee?Nataka kupost kitu ila cjui jomn mm mgen