Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Hivi adhabu yake inaweza kuwa Nini mwishoni? Assuming wamemkuta na kosa wanaweza kumfanya Nini?
 
Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.


Tanzania inapotea kidemokrasia
Na hapo ndio jibu LA alichoandika Pasco kuuliza "jee Bunge linajipendekeza kwa serikali?" Linakuwa ndio kwa vile Spika alishindwa kujibu palepale kuwa hatufanyi hivyo.
 

Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema

Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.

Habari zaidi, soma=>Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Ukiangalia Lugha ya Picha ni kama vile Jamaa anawapiga shule fulani hivi hao wa Mbele yake,
Au Boss Fulani hivi yuko Kikaoni anaendesha kikao
 
Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.


Tanzania inapotea kidemokrasia
Nyumbu bana. Sasa hapo Pascal kaonewa Nini? Akitoa maelezo ya kuridhia anakuwa huru. Akishindwa anaadhibiwa. Hapo amepewa haki yake ya kisheria ya kusikilizwa.

Mambo ya wapinzani Na Pascal Na Bunge yanahusiana vipi?
 
Back
Top Bottom