Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Naaamini paskali hutakatuangusha wana jf.maana hoja zotee tayalo zilikua upande wako.kilicho bakia ni submission tuu
 
Hapna simjui mm nimgen hum nimeingia leo lbda kakaangu ,,,nayy n mtu wa tanga????aaah
Mayasa anza kutembelea majukwaa mbalimbali humu,kuna jukwaa la hoja mchanganyiko,chit chat,jukwaa la mapenzi,kwa wewe ambae hupendi mambo ya siasa.
 
Pole sana broh Pascal na Hongera kwa kaz nzur huenda ukawafungua masikio nao wakafaham kuwa kweli mhimili wa Bunge umekuwa kibaraka wa serkal
 
Mbona ilikuwa rahisi maana CAG kampa nondo
ahiaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…