Pascal Mayalla apata ajali.....

Pole sana Pascal. Nilikuwa naangalia taarifa ya habari ya Channel 10 juu ya nane nane nikakukumbuka na kujiuliza kama uko Dodoma. Pole sana.
 
Nakumbuka haijapita wiki tangu ile thread ya Pascal kuhusu kuendesha pikipiki isiyo na namba ijadiliwe hapahapa. Na wengi tulipendekeza ile thread ifungwe kwani ilikuwa haina maslahi kwa jamii.

Ila pikipiki si usafiri wa kuamini sana kwenda umbali mrefu kama huo wa Dar -Dodoma, ni karibu KM 500.

AINGESOMa asingefika huko kwenye ajali huu ndio umuhimu wa JF FUNDISHA

mungu amponye apo alipo

Pole Bro Pascal, get well soon
 
kiuyajibu motorcycle ltd
kiuyajibu has no status.
Member Join Date: Wed Aug 2007
Posts: 17
Rep Power: 0

Thanks: 0
Thanked 4 Times in 3 Posts
Credits: 2,160

Re: Pascal Mayalla apata ajari.....

--------------------------------------------------------------------------------

Binafsi napenda usafiri wa pikipiki,lakini ubaya wake body ni wewe mwenyewe;kuna mtu ameshangaa/ametilia mashaka kwa uwezekano wa kusafiri kwa pikipiki umbali mrefu kama huo wa Dar-Dom.

Ukweli ni kwamba inategemea na aina ya pikipiki yenyewe;kwasababu ninavyojua mimi kuna pikipiki za safari ndefu na zina kasi kuliko gari au sawa na gari.Nilikuwa Morogoro mwaka 2006 kuna jamaa wanatoka Zambia kuja Moro..kwa kutumia pikipiki.Na pikipiki hizi.

zinazotumika kwa safari ndefu huwa zinajulikana kama Cross country na nilizobahatika kuziona ni brand ya Mercedes Benz,BMW na mara nyingi utakuta hazitumii mnyororo bali zinakuwa na propeller shaft ndogo(fupi) ambayo haiwezi kulingana na ya gari.

Hivyo basi,sijui huyu ndugu yetu alikuwa na pikipiki ya vigezo vya kwenda safari ndefu au basi tu aliamua kulazimisha tu kwa utashi wake bila kuangalia vigezo vya manufacturer.

Lakini, hata hivyo na mpa pole sana na naomba m
 
Unajua utani umezidi mwenzenu kaamua kupambana na mfumuko wa bei ya mafuta kaamua kuwa mvumilivu kama alivyosema mkuu wa kaya kanunua kibatavuzi chake katoka Dar kuelekea Dom kapata ajali watu wanamcheka. Jamaa anaugulia tumpeni pole huu MKUKUTA utatuua alikuwa anawahi kucover Nane nane nini.
 
Apate pole nyingi sana, na huyo mwendesha bike pia zimfikie.
nakumbuka siku si nyingi kuna mwanajf aliandika kua mtu huyu (superstar wa bongo pm)anaendesha pikipiki kwa fujo sana huko mitaani na hivyo anaweza kusababisha athari za maisha watu wakamjia juu kua si kweli.............. yamaetokea. ama kweli lisemwalo laja.....loo,
 
Pole Nyingi zifikwe Kwa Bwana Mayalla..... Watu walizungumza hapa kuhusu plate number ya pikipiki yake pamoja na mwendo wake barabarani naona immekua kama uchuro..dah
 

Kidatu Wewe Kidatu!!

Umenikumbusha Mbali Sana Kwa Akina Alfayo Na Chui La Ndondo Na Kabichi Za Watu Wenye Ulcers

You Have Made My Day Bro...
 
Pole Paskali, tunakuombea upone haraka. Kile kipindi chako cha KITI MOTO kilihamia kwenye baa zetu moja kwa moja? Kirudishe bwana. Kiliwachangamsha sana wanasiasa wetu.
 
Picha ya pikipiki & baiskeli ktk eneo la ajali please!!

Pascal pole sana.... sina uhakika kama waendesha pikipiki pia wanazingatia 30kph, 50kph etc!!

Get well soon brother!
 
Kama mchangiaji mmoja alivyosema hapo awali, kuna Pikipiki maalum kwa ajili ya masafa marefu. Hata hivyo, wale bikers wanavaa pia SPECIAL COSTUME kwa ajili ya kinga kutokana na ukweli kuwa in case of anything mwili wa biker unakosa kinga nyingine kama ilivyo kwa magari.

Pole sana Brother. Mungu atakujalia ahueni mapema uendelee na shughuli zako.
 
Pole Paskali, tunakuombea upone haraka. Kile kipindi chako cha KITI MOTO kilihamia kwenye baa zetu moja kwa moja? Kirudishe bwana. Kiliwachangamsha sana wanasiasa wetu.


....Labda ndio maana kiliondolewa, mkuu! Wanasiasa wetu huwa hawapendi changamoto!
 
Pikipiki ya PASCAL MAYALLA haikuwa imesajiliwa 2008, na post hizo juu ni za 2008, sasa ni miaka 6 toka hii itokee......
 
japo thread ni ya cku nyingi ila huyu jamaa namkumbuka sana ndio mwasisi wa jina la KITI MOTO. Alikuwa na kipindi bomba sana ITV chenye jina hilo miaka ya 1990 bahati nzuri/mbaya biashara ya mdudu kwn mabaa mengi ndo ilishamir kipindi hicho basi wadau wakaanza kuita ile nyama kitimoto. He is one of professional and legendary jounalists we have in tz. last longer man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…