Pascal Mayalla apata ajali.....

Tupe madini mkuu
 


Pole sana Pasco, Mungu akusaidie upone haraka , Amina.

Haya ma pikipiki yametupotezea ndugu zetu na wazee wetu . Ni kwa vile mtu unakuwa huna budi tu, lakini usalama wake ni mdogo sana.
 
Mdau ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki

Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.
Kwani,uliwahi kupatwa na karma au umeandika kwa kadiri ya ranges zako za 9/10 na 10/10?Leo umeandika hisia bila uhalisia mwana TSJ.
Haya ni malipo ya karma!.
NB. Hili tukio ni la 2008!, leo nimelikumbushia kufuatia mimi kuwa ni mhubiri sana wa kitu kinachoitwa karma, na mimi kuwa shuhuda wenu mambo ya karma nimeyapitia na nayapitia
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…