Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Aliyefukua hili kaburi leo anawapa utata sanaPole sana ndugu yetu Paschal Mayala.
Tunakuombea uponaji wa haraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyefukua hili kaburi leo anawapa utata sanaPole sana ndugu yetu Paschal Mayala.
Tunakuombea uponaji wa haraka.
Ufukuaji Makaburi Unaleta Taharuki Sana SanaAliyefukua hili kaburi leo anawapa utata sana
Pole sana kaka, mwana jfMdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.
Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.
Hahaaa umenikumbusha Mbali sana huyo Mwita25 akaja akawa anajiita Atiwm52 sijui ailipotelea wapi.
Alishapona ajali alipata 2008Pole sana jamaa yetu
Tunakuombea quick recovery 🙏
Ila pikipiki haina urafiki
Halafu barabara zetu hizi
Mkuu achana na huo usafiri kabisa
Nyie waandishi kila leo mnaandika ajali za mabasi, malori mpaka treni na boda
Hawasalimiki wenye magari
Ukapiga ruti ndefu aisee
Pole sana, sisemi kwa ubaya lakini you are too old for this
Hii habari ni ya 2008Pole sana jamaa yetu
Tunakuombea quick recovery 🙏
Ila pikipiki haina urafiki
Halafu barabara zetu hizi
Mkuu achana na huo usafiri kabisa
Nyie waandishi kila leo mnaandika ajali za mabasi, malori mpaka treni na boda
Hawasalimiki wenye magari
Ukapiga ruti ndefu aisee
Pole sana, sisemi kwa ubaya lakini you are too old for this
Ooh makosa yanguHii habari ni ya 2008
I beg your pardonAlishapona ajali alipata 2008
Ova
Sikuwa makini kwenye date bossHivi umesoma kwamba hili tukio unalilitolea pole leo ni la lini?
Hii ilikuwa miaka mitano kabla haujajiunga JF.
Pole😅Sikuwa makini kwenye date boss
Ndio naambiwa bossPost ya zamani hii chief....
Thanks 😊Pole😅
Pole yake sana mr.MayalaBinafsi napenda usafiri wa pikipiki,lakini ubaya wake body ni wewe mwenyewe;kuna mtu ameshangaa/ametilia mashaka kwa uwezekano wa kusafiri kwa pikipiki umbali mrefu kama huo wa Dar-Dom.
Ukweli ni kwamba inategemea na aina ya pikipiki yenyewe;kwasababu ninavyojua mimi kuna pikipiki za safari ndefu na zina kasi kuliko gari au sawa na gari.Nilikuwa Morogoro mwaka 2006 kuna jamaa wanatoka Zambia kuja Moro..kwa kutumia pikipiki.Na pikipiki hizi.
zinazotumika kwa safari ndefu huwa zinajulikana kama Cross country na nilizobahatika kuziona ni brand ya Mercedes Benz,BMW na mara nyingi utakuta hazitumii mnyororo bali zinakuwa na propeller shaft ndogo(fupi) ambayo haiwezi kulingana na ya gari.
Hivyo basi,sijui huyu ndugu yetu alikuwa na pikipiki ya vigezo vya kwenda safari ndefu au basi tu aliamua kulazimisha tu kwa utashi wake bila kuangalia vigezo vya manufacturer.
Lakini,hata hivyo na mpa pole sana na naomba mwenyezi Mungu amponye aweze kurejea katika hali yake ya kawaida.
Naungana na wapendwa wote kumpa pole ya dhat. Mwenyezi Mungu amlinde na kumponya. Tunakuombea pascal upone harakaMdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.
Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.
Acha bangi wewe post ya 2008 hiyo ujinga umekujaaPole sana ndugu yetu Paschal Mayala.
Tunakuombea uponaji wa haraka.