Pascal Mayalla apata ajali.....

Pascal Mayalla apata ajali.....

Mdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.

Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.
Pole sana kaka, mwana jf
 
Pole sana jamaa yetu
Tunakuombea quick recovery 🙏
Ila pikipiki haina urafiki
Halafu barabara zetu hizi
Mkuu achana na huo usafiri kabisa
Nyie waandishi kila leo mnaandika ajali za mabasi, malori mpaka treni na boda
Hawasalimiki wenye magari
Ukapiga ruti ndefu aisee
Pole sana, sisemi kwa ubaya lakini you are too old for this
Alishapona ajali alipata 2008

Ova
 
Pole sana jamaa yetu
Tunakuombea quick recovery 🙏
Ila pikipiki haina urafiki
Halafu barabara zetu hizi
Mkuu achana na huo usafiri kabisa
Nyie waandishi kila leo mnaandika ajali za mabasi, malori mpaka treni na boda
Hawasalimiki wenye magari
Ukapiga ruti ndefu aisee
Pole sana, sisemi kwa ubaya lakini you are too old for this
Hii habari ni ya 2008
 
Binafsi napenda usafiri wa pikipiki,lakini ubaya wake body ni wewe mwenyewe;kuna mtu ameshangaa/ametilia mashaka kwa uwezekano wa kusafiri kwa pikipiki umbali mrefu kama huo wa Dar-Dom.

Ukweli ni kwamba inategemea na aina ya pikipiki yenyewe;kwasababu ninavyojua mimi kuna pikipiki za safari ndefu na zina kasi kuliko gari au sawa na gari.Nilikuwa Morogoro mwaka 2006 kuna jamaa wanatoka Zambia kuja Moro..kwa kutumia pikipiki.Na pikipiki hizi.

zinazotumika kwa safari ndefu huwa zinajulikana kama Cross country na nilizobahatika kuziona ni brand ya Mercedes Benz,BMW na mara nyingi utakuta hazitumii mnyororo bali zinakuwa na propeller shaft ndogo(fupi) ambayo haiwezi kulingana na ya gari.

Hivyo basi,sijui huyu ndugu yetu alikuwa na pikipiki ya vigezo vya kwenda safari ndefu au basi tu aliamua kulazimisha tu kwa utashi wake bila kuangalia vigezo vya manufacturer.

Lakini,hata hivyo na mpa pole sana na naomba mwenyezi Mungu amponye aweze kurejea katika hali yake ya kawaida.
Pole yake sana mr.Mayala
 
Mdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.

Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.
Naungana na wapendwa wote kumpa pole ya dhat. Mwenyezi Mungu amlinde na kumponya. Tunakuombea pascal upone haraka
 
Back
Top Bottom