Ukisikia kuna watanzania wapumbavu kielelezo kimojawapo ni weweNaungana na wapendwa wote kumpa pole ya dhat. Mwenyezi Mungu amlinde na kumponya. Tunakuombea pascal upone haraka
Post ya 2008 hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia kuna watanzania wapumbavu kielelezo kimojawapo ni weweNaungana na wapendwa wote kumpa pole ya dhat. Mwenyezi Mungu amlinde na kumponya. Tunakuombea pascal upone haraka
Mpumbavu wewe post ya 2008 hiyoPole yake sana mr.Mayala
Kichwa chako kwenye umakini uko zero halafu unajiita detective jina kubwa kichwani hamna kituPole sana kaka, mwana jf
Sasa lengo la hii post kutrend ni nini?Kichwa chako kwenye umakini uko zero halafu unajiita detective jina kubwa kichwani hamna kitu
Hiyo post ya 2008
Kuna wajinga wanasoma heading tu wanadhani ya leoSasa lengo la hii post kutrend ni nini?
Pole paskal get well soonMdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.
Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.
😂Kichwa chako kwenye umakini uko zero halafu unajiita detective jina kubwa kichwani hamna kitu
Hiyo post ya 2008
Hata wewe mkongwe umeingia mzima mzima?Pole paskal get well soon
Watu Wana mioyo migumu, Dar Dom unaenda Kwa piki piki? Mimi hata iweje boda sipandi na miaka zaidi ya mitano sijapandaMungu aendelee kukuinua zaidi japo ni zamani
Watu Wana mioyo migumu, Dar Dom unaenda Kwa piki piki? Mimi hata iweje boda sipandi na miaka zaidi ya mitano sijapanda
Hujambo dogo2008 nilikuwa nursery
Hata kama, bado piki piki sio usafiri salama kabisa Kwa safari ya umbali mrefu nliwahi kuendesha kutoka Arusha hadi Moshi Kuna mda nkawa nahama lane bila kutambuaNasikia pikipiki ni zile BMW ndo alikuwa anatumia
Kweli kabisa.Hata kama, bado piki piki sio usafiri salama kabisa Kwa safari ya umbali mrefu nliwahi kuendesha kutoka Arusha hadi Moshi Kuna mda nkawa nahama lane bila kutambua
(RIP Mpoki Bukuku)aliyeleta Taarifa hii ... Pascal Mayalla Mungu aendelee Kukulinda.Mdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.
Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.