Pascal Mayalla ataka wataalamu wa Kemia waje watueleze sintofahamu ya Fumigation na Barakoa baada ya kutafakari hotuba ya Rais Magufuli

Pascal Mayalla ataka wataalamu wa Kemia waje watueleze sintofahamu ya Fumigation na Barakoa baada ya kutafakari hotuba ya Rais Magufuli

Mwandishi wa habari nguli mh Pascal Mayalla amewataka wataalamu wa Kemia kuja hadharani na kutuchambulia faida na hasara za kupiga fumigation mitaani na kwenye vyombo vya usafiri kama kuna tija kwenye mapambano dhidi ya Corona.

Kadhari watuelimishe juu ya ubora wa barakoa kama zinaweza kuttumika kuihujumu nchi kwa kuletwa zikiwa na vimelea vya Corona.

Pascal na Dotto Bulendu wamesisitiza kuwa huu sio wakati wa kuwaachia waandishi wa habari waliosoma HGL na HGK pekee kuripoti habari za Corona bali wanahitajika wabobezi wa maswala ya afya katika kulihabarisha taifa.

Source Star tv
Ni wazo zuri Yohana, ila hao hao wanahabari huu ndio ulikuwa wakati muafaka wa kuwa wanatafuta watalaamu wa afya na kuwahoji masuala kama hayo. Nashangaa sana sioni Tv zetu zikiwaalika watalaamu kujibu maswali ambayo mengi yanawasumbua wananchi.
 
1587798190623.png


Hii ndiyo chain of transmission sasa nafasiya fumigation iko wapi hapa?
 
Bongo hatuheshimiani kwa taaluma, hao unaowaita wandishi wa habari wapo kwenye vyombo vya kueneza habari... lakini cha ajabu hawajisumbui kuwahoji wataalamu.

Kila saa mahojiano na wasanii, eti watu maarufu... ona hadi matangazo ya kuelimisha watu kuhusu kujihadhari na Corona wapo Snura na Sholo Mwamba sijui Gigi Money [emoji2377]

Hao wataalamu watasikika kupitia wapi.?

Huyo Pascal Mayalla atuambie ni lini amealika na kuhoji Wakemia kwenye vipindi vyake.
Hakuna sehemu yoyote duniani ambapo POLITICS has never intervened professionalism, most of politicians interfere profession, go anywhere even in the US

Mfano mzuri ni Trump hana heshima kwa taaluma za watu CNN IKIWEMO ndio maana yeye na tweet tweet na yeye


Hukusiki hata China Dr aliyeona dalili za Corona mapema kabisa alinyamazishwa????? Hadi umauti ukamkuta akiwa tayar ashaambukizwa virus??

Acheni kubeza, kujamba ni kujamba tu haijalishi kajamba nani,hata awe baba au tajiri kajamba tu


Unataka iutuambia kujamba kwa mataifa ya nje siyo kujamba????? Unafikiri hiyo ni Spray????? Wote wanajamba tu acheni kujitoa ufahamu kama hamjasoma kazi kuvua elimu zenu nakujifanya kama hamjasoma


Hakuna sehemu hapa duniani ambapo mambo yako extremum settled never!!!



Think beyond the box mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna sehemu yoyote duniani ambapo POLITICS has never intervened professionalism, most of politicians interfere profession, go anywhere even in the US

Mfano mzuri ni Trump hana heshima kwa taaluma za watu CNN IKIWEMO ndio maana yeye na tweet tweet na yeye


Hukusiki hata China Dr aliyeona dalili za Corona mapema kabisa alinyamazishwa????? Hadi umauti ukamkuta akiwa tayar ashaambukizwa virus??

Acheni kubeza, kujamba ni kujamba tu haijalishi kajamba nani,hata awe baba au tajiri kajamba tu


Unataka iutuambia kujamba kwa mataifa ya nje siyo kujamba????? Unafikiri hiyo ni Spray????? Wote wanajamba tu acheni kujitoa ufahamu kama hamjasoma kazi kuvua elimu zenu nakujifanya kama hamjasoma


Hakuna sehemu hapa duniani ambapo mambo yako extremum settled never!!!



Think beyond the box mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
inaonyesha una ujuzi na kujamba.

siasa na wanasiasa

toyota corona na wataalamu
 
Kwa hoja za wasemaji wasiokuwa Mwanza ni kwamba tukitegemea vyanzo vya habari kutoka kwa wasemaji wa Serikali tutakosa mengi. Wangeacha waandishi wakaingia hadi hostel za Magufuli tungesikia mengi mazuri.
 
Mwandishi wa habari nguli mh Pascal Mayalla amewataka wataalamu wa Kemia kuja hadharani na kutuchambulia faida na hasara za kupiga fumigation mitaani na kwenye vyombo vya usafiri kama kuna tija kwenye mapambano dhidi ya Corona.

Kadhari watuelimishe juu ya ubora wa barakoa kama zinaweza kuttumika kuihujumu nchi kwa kuletwa zikiwa na vimelea vya Corona.

Pascal na Dotto Bulendu wamesisitiza kuwa huu sio wakati wa kuwaachia waandishi wa habari waliosoma HGL na HGK pekee kuripoti habari za Corona bali wanahitajika wabobezi wa maswala ya afya katika kulihabarisha taifa.

Source Star tv
Pascal achana naye, natafuta kuwatumikia wananchi! TZ hakuna environment ya science ...
 
Back
Top Bottom