REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Sasa brother utaki sema jimbo tatizo nini?Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Tunakutakia heri na fanaka. Tuaomba usiwe mbunge inje ya bunge.Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Tunamsubirihahahhahah
Nahisi huyu ataenda ACTAll the best. Ila mpaka leo tarehe 18 Julai, 2020, sijakuona popote au nimepitwa na mambo in these four za CCM au tusubir kukuona ukipitia vyama vingine ambavyo havijaanza au havijamaliza utaratibu wa uteuzi ndani ya vyama vyao!? Tunasubiri na ninasema tena KILA LA HERI!
Unastahili kuwa Mbunge nzehe labda zengwe la kwenye mchujo ndo kikwazo ukivuka hapo baaaaasiNi kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Tuko pamoja, na kwa umoja wetu utashinda.Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Ni haki yakeMwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Ccm wenzio washaichungulia fomu yako na kuiweka kwenye hadhiraPascal Mayalla anashindana na askofu Gwajima kule Kawe!
Ni haki yake
Who cares?
Interestingly,sisi sio wapiga kura wake
Ni vizuri akaenda hilo jimbo mahususi awaeleze nia yake,huwenda nao wakawa na nia nae pia!
Maana kua na nia sio tatizo,tatizo ni wapiga kura kua na nia na wewe pia!
Nahisi huyu ataenda ACT
Vaa tu hilo dela lako la kijivu jivu unalosasambuliaga halafu juu weka sweta zito lefu mpaka usawa wamagoti ili ufanane fanane na yule dogo wa Ali Meli na utimbe lumumba kwa bashasha zakoSi muda umeisha?
View attachment 1509976
Wakimtimua Ndugai Makonda huyu hapa yeleeeewKila la heri mkuu, ukifanikiwa ushauri wangu kwako pamoja na watia nia wengine watakaofanikiwa kipau mbele chao cha kwanza kiwe ni kumtimua Ndugai na Tulia kwenye nyazifa zao, bila hivyo hata kama mtakuwa na akili kama za malaika bunge lenu lazima ligeuke kuwa kama bunge la shetani.
Hahaha hawa jamaa wanakaba mpaka penalty.Wakimtimua Ndugai Makonda huyu hapa yeleeeew
Uadilifu??Ingawa sitwaweza kukupigia kura kwa vile sijui jimbo lako, nitakuunga mkono kwa sababu nakufahamu kwa takriban miaka 30 sasa; ninajua kwa uwezo na uadilifu wako bila shaka yoyote utawatendea haki watu wa jimbo lako.
Umeiona vzr. SanaMwakyembe kwisha habari yake!
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla