Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Sasa brother utaki sema jimbo tatizo nini?
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
Tunakutakia heri na fanaka. Tuaomba usiwe mbunge inje ya bunge.
 
All the best. Ila mpaka leo tarehe 18 Julai, 2020, sijakuona popote au nimepitwa na mambo in these four za CCM au tusubir kukuona ukipitia vyama vingine ambavyo havijaanza au havijamaliza utaratibu wa uteuzi ndani ya vyama vyao!? Tunasubiri na ninasema tena KILA LA HERI!
Nahisi huyu ataenda ACT
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Unastahili kuwa Mbunge nzehe labda zengwe la kwenye mchujo ndo kikwazo ukivuka hapo baaaaasi
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
Ni haki yake

Who cares?

Interestingly,sisi sio wapiga kura wake

Ni vizuri akaenda hilo jimbo mahususi awaeleze nia yake,huwenda nao wakawa na nia nae pia!

Maana kua na nia sio tatizo,tatizo ni wapiga kura kua na nia na wewe pia!
 
Kila la heri mkuu, ukifanikiwa ushauri wangu kwako pamoja na watia nia wengine watakaofanikiwa kipau mbele chao cha kwanza kiwe ni kumtimua Ndugai na Tulia kwenye nyazifa zao, bila hivyo hata kama mtakuwa na akili kama za malaika bunge lenu lazima ligeuke kuwa kama bunge la shetani.
Wakimtimua Ndugai Makonda huyu hapa yeleeeew
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla

Hatimaye utabiri wangu umetimia. Nakutakia kila la heri Mkuu Pascal Mayalla. You can make it bro. Najua unaenda tu CCM! Maana dalili zote ziko wazi. Ushauri wangu kwako ni mmoja tu: Jitenge na unafiki! Kwenye kusifia, sifia! Lakini panapotakiwa kukosoa, tafadhali usijitoe ufahamu.

Sawa Mheshimiwa Mtarajiwa?
 
Back
Top Bottom