Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal gani amewahoji wanasiasa mwaka 1995, Pascal huyuhuyu wa JamiiForums au mwingine ???
Haha ha haa Daudi katika ubora wake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pascal yule wa kiti moto akikutana na pascal huyu wa JF ya awamu ya Meko lazima Pascal wa kitimoto atamtandika mavibao kujaribu kumzindua ila uzuri mleta mada umekiri kuwa ni uzee umemuingia Pascal, ila mimi kwa upande wangu naamini sababu ingine pia ya Pascal kuingiza venje(ubaridi) ni hii ccm ya mataga inakivunja kiti kabla hakijawa cha moto.
ie: kitimoto alichowekwa Pascal Bungeni.
Swali la press la mwisho kuulizwa na Pascal wa kiti moto alimuuliza Magufuli Ikulu na majibu ya swali lile naamini ni moja ya sababu ya Pascal kutumia kiti baridi badala ya kile cha moto kile cha ujanani.
Sawa Mkuu nalifanyia kazi saa nyingine ni kutokana na kisimu nachotumia,asante Best.Mkuu jitahidi matumizi sahihi ya herufi ndogo na kubwa na pia unaweka nukta pasipohusika na kuanza sentensi nyingine kwa herufi ndogo. Kiufupi hata ukiwa umeandika mada nzuri kiasi gani kama uzingatii kanuni za uandishi unapunguza uhondo wa mada.
Mkuu mbona unamvunjia heshima mwenzio? Hata kama mmetofautiana kimtazamo au kiitikadi ya siasa sio uungwana kutumia lugha kama uliyotumia dhidi ya Mwana JF mwenzakosijachanganya kitu.. alikuwa anapakuliwa huyo mzee mpaka mkewe kagundua
Ajabu sana mpaka muda huu hajajitokeza tu. Halafu pascal Mayalla huwezimuina akikujibu kwa matusi japo ana lugha anaitumiaga ukikaa na kutafari vizuri utajua kakutukana ki utu uzima. Ni mmoja ya wanahabari na Broadcaster mzuri sana sema msukuma mwenzake hataki watu kama kina mayalla. Na anamjua ndiyo maana alipomlima na swali la katiba akalisepa na kumtania bila kujibu na pascal alilitambua akaamua kumnyamazia. Ama siyo angemmaliza na swali la nyongeza. Wanaombeza hawamjui Mayalla vizuriTena ni mwanahabari mwenye maswali yenye mashiko Sana tu.Jamaa Yuko vizuri ktk fani yake.
AnywhereWhere's your brain?
Pascal gani amewahoji wanasiasa mwaka 1995, Pascal huyuhuyu wa JamiiForums au mwingine ???
Nimeshajibiwa muda mrefu sana huko juu.Ukijibiwa niite
Ila huyu mwanamke ananipenda jamani.Anywhere
Baby Girl, what's up!Alafu linavyojikuta lijuaji sasa unaweza dhani ni jitu la maana sana hilo kumbe toto la juzi.
Rubbish
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ila huyu mwanamke ananipenda jamani.
Unawasha nadhani njoo nikukune shostiBaby Girl, what's up!
Mbona umefunga PM sasa ??
Kipindi kinarushwa hewani ulikua mdogo huwezi kumbuka. Kilikua kinaanza usiku saa tatu wewe umeshalala1995 mkuu
Mtu gani?Sasa tunamjadili mtu.
Great
Yule aliyekuwa na kesi mahakamani.Anaitwa nani huyo Boss ? Nyang'anyi au David Mattaka ?
Mkuu naona huu uzi umefunguliwa kumjadili mtu.Sasa tunamjadili mtu.
Great