Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.

Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.

Kwa sababu gani?

Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.

Umaarufu wake ulisababishwa na nini?

Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”

Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"

Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”

Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.

Umaarufu wake ni huu.

Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.

Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.

Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.

Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.

Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.

Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.

Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.

Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.

Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
KITIMOTO
KITI MOTO
 
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.

Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.

Kwa sababu gani?

Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.

Umaarufu wake ulisababishwa na nini?

Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”

Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"

Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”

Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.

Umaarufu wake ni huu.

Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.

Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.

Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.

Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.

Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.

Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.

Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.

Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.

Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Hiki kipindi cha Kitimoto nakikumbuka sana na inaaminika kuwa alikifunga Mtumishi wa Mungu Askofu Mkuu Zacharia Kakobe. Askofu Kakobe alikuwa mtu wa mwisho kuhojiwa kwenye kipindi hicho halafu baada ya hapo kikapotea mpaka leo hii! Could be huyu mtumishi wa Mungu kilikuwa hakimfurahishi aliamua kwenda kukifunga? Inaweza kuwa alionyeshwa kwenye ulimwengu wa roho kuwa kina madhara huko mbeleni hivyo akaamua kwenda kukifunga. Yaani kwenye events kama hizi, hapo ndiyo watumishi wa Mungu ninapowanyooshea mikono, kabisa!
 
Alianza kubadilika pale alipoitwa dodoma

Akaoneshwa ukuu wa dola

Akatishika kweli kweli


Akapotea JF kama mwezi hiviii

Aliporudi akaanza kung'ata na kupuliza ili tusimshtukie mapema [emoji2]

Hatimaye akawa MPULIZAJI HURU.

pia kwa umaruufu wake Hapa akaiona Fursa ukizingatia ana miaka 50 na kitu na Hana pensheni .

So akaamua kuwa MPULIZAJI at least bwana mkubwa amkumbuke katika ufalme wake .

Ikumbukwe aliwahi muuliza swali kali bwana mkubwa

Na mbaya zaidi kaanza kuwa "prophet of doom" he always wishes doomsday to come in Tanzania for his devilish foresight about someone the "damned"

Amekuwa mpiga bao,ana practise ulozi waziwazi (ulozi sio lazima upae na ungo angani).

Kama ni unafiki basibasi mayala ni mnafiki kweli kweli (apewe tuzo[emoji2])

Sawa ana UHURU wa kuchagua cha kuandika na kusema (but not to that extent)[emoji2]

Nachoweza sema namuonea Imani na namuombea Sana usikute anakumbana na mengi Sana .yanayopelekea abadiliki hata Imani yake .

Ama kwa hakika siku zile tabu na shida zitazuka mama atamsaliti mwana ,baba atamsaliti binti .

Tumuombee Pascal Mayalla!!

Na wote tuseme Amina ,
 
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana. Huyu jamaa hanijui lakini Mimi namjua sana.

Watanzania wengi twamjua sana, EAC wengi wanamjua sana ingawa yeye anawajua kwa kuwaona watu wachache sana lakini mamilioni ya watu tunamjua.

Kwa sababu gani?

Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania.

Umaarufu wake ulisababishwa na nini?

Kwa wasiokua historians huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai hadi leo la “KITI MOTO.”

Neno kiti moto leo hii linatumika kama hivi, “Leo nyumbani nimewekwa kiti moto na wazee kwanini sitaki kuoa" au "Yule mtu leo kawekwa kiti moto hadi kalipa deni lake"

Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi, "twendeni nikawanunulie kiti moto pale wanajua sana kuitengeneza nyama ya kiti moto”

Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.

Umaarufu wake ni huu.

Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi kama sijakosea Pascal alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi sana na hata wasio Watanzania.

Kipindi hiki ilikuwa ukikikosa unajuta, maofisini, mitaani, magengeni, mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi cha jana usiku cha kiti moto.

Kiti moto ilikuwa inaita watu maarufu hususan viongozi na Pascal alikuwa anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikuwa wanaona kiti kinaunguza.

Hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.

Pascal alihoji maswali tata sana hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.

Kwa ufupi kilikuwa kipindi kitamu sana na watu makini hawakupenda kukosa kukiona. Maswali yake yalikuwa mazuri, ya msingi, ya kujenga ingawa wakuu walikiona cha Moto kweli.

Huyu Pascal wa JF sio yule, najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.

Huyu wa JF kazeeka. Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kuzielewa kwa vijana wa leo. Mada za mafumbo, za kuuma na kupuliza, za kutotaka lawama, anaishia kutukanwa na madogo.

Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Usimuone nyani mzee amejikalia juani ukadhani anaumwa au bwege. Itoshe kufahamu kuwa amekumbana na mengi na amekwepa mishale mingi na pale juani anatafakari ya kufanya.
 
Kuna wakati nasoma kwa makini hoja zake ah nami hujiuliza vipi huyu but kuna wakati naona anatumia kitu katika fasihi kinaitwa "irony' yani mtu kusema kitu kumbe ni kama kinyume chake.
Pia makala zake nyingine ni kama zinaonyesha ana uoga fulani kwa kuzifanya ziinamie upande anaouhofia.
Anyway historia ya uandishi wake hunifanya niendelee kumsoma lakini insnipa kazi kutafakari zaidi kulikoni!
Paschal wa kipindi kile alikuwa paschhal sio huyu wa kipindi hichi amebadilika sana ila tusimlaumu sana umri nao na njaa lazma abadilike
 
CCM inatakiwa wamfikirie huyu nguli wa habari ili walau astaafu kwa heshima, kawafanyia mengi mazuri !! teuzi na teuzi zinapita ila jina hatulioni - kulikoni? - si vzr hivi.
 
CCM inatakiwa wamfikirie huyu nguli wa habari ili walau astaafu kwa heshima, kawafanyia mengi mazuri !! teuzi na teuzi zinapita ila jina hatulioni - kulikoni? - si vzr hivi.
Pascal Mayalla,hawezi kupata uteuzi hata wa afisa mtendaji,
Aliyekuwa anamtegemea kumpa uteuzi hayupo.
 
Back
Top Bottom