Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

Tatizo wengi hawajui maana ya neno mafanikio..

Je mafanikio ni Pesa ?
Je mafanikio yanapimwa na wewe binafsi au jamii inavyotaka ?

In short mafanikio ni kufanikisha kile ulichokianza (kwahio kama unamuita nguli inamaanisha alishafanikiwa kwenye kile alichokifanya) jambo ambalo majority wanakufa hawajafikia ndoto zao...

Huwezi kusema kwamba Tyson hakufanikiwa sababu alifirisika (wakati alikuwa bingwa wa ndondi duniani)..., huwezi kumcheka Msaanii wa Muziki (mfano Whitney ) sababu mwisho wake haukuwa mzuri wakati kwenye peak nyimbo zake ziligonga dunia nzima.... (wakati wewe hata ukianza kuimba tu waliokuzunguka wanaziba masikio).....

Tuache kufuatiliana Maisha..... (Huo muda tuwekeze kwenye maisha yetu sababu nina uhakika kuna mengi ya kurekebisha)
 
Best yangu huyu ni lazima nimtetee sana,
Kuna waliofanya kazi BBC,na katika vyombo mbalimbali vya nje na wapo hapa katika vyombo vya kawaida kabisa ...
Kwani kuwa mwalimu hatima yake ni umiliki shule?
Think twix
Lionel Messi wa FC Barcelona ( La Pulga na Le Football Magician ) leo hii akiwa Kit Manager wa Yanga SC ya Tanzania Kwako Wewe ni sawa Ndugu?
 
Mtua uzi unauliza swali halafu unajijibu..maelezo mengi jibu liko kwenye maelezo yako ya mwisho..kwamba anaenda pale kama mwalimu au mshauri kwa watangazaji makanjanja.
Wewe ni nani wa Kunipangia? Kaa mbali!
 
Mifano yako ni mfu, hasa huo wa Messi, Naona unamkuza sana Mayala hivi ni chombo gani cha habari kikubwa dunia hii alichowai kufanya kazi Mayala mpaka useme kua kaporomoka, mpqka useme kua Messi kutoka barca kuja kuajiliwa yanga?
Pole kwa Kuitaja Yanga SC yako Ndugu.
 
Tatizo la jamaa yeye si moto wala baridi, bali vuguvugu. Mungu amesema heri uwe moto au baridi

Hata mwendazake hakuweza kumwelewa kuwa yupo upande upi, hivyo akakosa uteuzi.

Na bado, itafikia mpaka awe MC kwenye vigodoro
 
Sidhani kama ameajiriwa ,anapiga deiwaka tu kama alivyokuwa anafanya Paul Mashauri ,kwasasa Mashauri hayupo ndio ame mreplace Paul ..Hajaajiriwa huyo analipwa kwa saa anazokuwa hewani.
 
Tatizo wengi hawajui maana ya neno mafanikio..

Je mafanikio ni Pesa ?
Je mafanikio yanapimwa na wewe binafsi au jamii inavyotaka ?

In short mafanikio ni kufanikisha kile ulichokianza (kwahio kama unamuita nguli inamaanisha alishafanikiwa kwenye kile alichokifanya) jambo ambalo majority wanakufa hawajafikia ndoto zao...

Huwezi kusema kwamba Tyson hakufanikiwa sababu alifirisika (wakati alikuwa bingwa wa ndondi duniani)..., huwezi kumcheka Msaanii wa Muziki (mfano Whitney ) sababu mwisho wake haukuwa mzuri wakati kwenye peak nyimbo zake ziligonga dunia nzima.... (wakati wewe hata ukianza kuimba tu waliokuzunguka wanaziba masikio).....

Tuache kufuatiliana Maisha..... (Huo muda tuwekeze kwenye maisha yetu sababu nina uhakika kuna mengi ya kurekebisha)
Anafuatiliwa Yesu Kristo na Mtume Mohammed SAW huyu Pascal Mayalla wenu ni nani asifuatiliwe?

Je, ningekuja na Uzi wa Kumsifia na Kumpamba kwa kila namna hapa ungesema kuwa niache Kumfuatilia na Maisha yake?

Mnafiki na Juha mkubwa Wewe yaani hujajua kuwa kwa Kumjadili hivi Nguli Pascal Mayalla pia tunawasaidia Wanahabari wanaochipukia na hata waliopo ili Kujitathmini katika Tasnia yao?

Wakati Sisi wengine tunapewa Baraka ya kuwa na IQ's Kubwa na Toshelezi Vichwani mwetu Wewe ulikuwa Chooni unajisaidia Haja Kubwa na Kusahaulika au?
 
Mie toka aseme amegombea ubunge sijui wapi nikamuweka dustbin mapema sana..simpendi tena!ingawa najua kila mtu ana uhuru wa kuchagua apendacho ila tulipofikia ilikua hapana!🚮
Mayala yuko vizuri moja ya mambo siwezi kusahau alipomuuliza swali la uwajibaki JPM tena kwa kujiamini kwa hoja. Ni ule mfumo wetu wa Tanzania watu wanaouliza maswali ya magumu hawana nafasi, sasa kuwa na itikiadi fulani mimi sina tatizo nalo muhimu weledi ukiwa kazini. CNN huko wako watangazaji wengi tu mashoga lakini wakiwa katika TV na vipindi vyao tunasahahu ni watu wa aina gani sababu weledi wao na uwezo wao umezidi misimamo yao na tabia zao.
 
Anafuatiliwa Yesu Kristo na Mtume Mohammed SAW huyu Pascal Mayalla wenu ni nani asifuatiliwe?

Je, ningekuja na Uzi wa Kumsifia na Kumpamba kwa kila namna hapa ungesema kuwa niache Kumfuatilia na Maisha yake?

Mnafiki na Juha mkubwa Wewe yaani hujajua kuwa kwa Kumjadili hivi Nguli Pascal Mayalla pia tunawasaidia Wanahabari wanaochipukia na hata waliopo ili Kujitathmini katika Tasnia yao?

Wakati Sisi wengine tunapewa Baraka ya kuwa na IQ's Kubwa na Toshelezi Vichwani mwetu Wewe ulikuwa Chooni unajisaidia Haja Kubwa na Kusahaulika au?
Ushauri wa Bure...., wewe kama unataka ku-invest muda wako kufuatilia watu all the best (huenda hio ndio hobbie yako) ila muda huo huo wa kufuatilia watu ungeuweka kwenye kujifuatilia nadhani ungekuwa bora zaidi kuliko ulivyo sasa...
 
Ushauri wa Bure...., wewe kama unataka ku-invest muda wako kufuatilia watu all the best (huenda hio ndio hobbie yako) ila muda huo huo wa kufuatilia watu ungeuweka kwenye kujifuatilia nadhani ungekuwa bora zaidi kuliko ulivyo sasa...
Nakula Kwako hadi unipangie? Dimwit!!
 
Hio ✖
Hiyo ✔
Ndio ✖
Ndiyo ✔
Ushauri wa Bure...., wewe kama unataka ku-invest muda wako kufuatilia watu all the best (huenda hio ndio hobbie yako) ila muda huo huo wa kufuatilia watu ungeuweka kwenye kujifuatilia nadhani ungekuwa bora zaidi kuliko ulivyo sasa...
 
Online TV zimeua media zilizozoeleka na pia habari ya vyuma kukaza ni mbaya sana kwa tasnia.

Pesa za matangazo zilibaniwa na awamu ya hayati JPM. Njaa ikatamalaki kisawasawa.

Labda huruma ya Mama itakuja na neema,alisikika akihuzunika siku ile alipoongea na mawaziri ikulu.
 
Back
Top Bottom