Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Hapa ninachokiona watu Wa Lumumba na watekaji Wa Kabendera wameunzisha Uzi huu kwa malengo maalumu

Mlengwa hapa ni Pascal kwa sababu ndiye aliyewafungua wengi kuhusu gazeti la the Economist kuwepo kupitia jamiiforums,Pascal akawa kama wakala Wa the Economist hapa Tanzania kupitia jamiiforums,watanzania wengi wakaanza kulifuatilia hill gazeti kwa kupitia Pascal hasa alipokuwa anatafsiri maudhui yanayomhusu Magufuri kwa kiswahili,

Hapa shida ndo inaanzia kwa Pascal,mleta Uzi ameuleta kimkakati utaona hata wachangiaji wanamushambulia Pascal as if ni mwandishi Wa the Economist,hapa wanajaribu kumtisha Pascal asilete bandiko linalomhusu Joseph kasheku Msukuma tena kwani watanzania wengi wanalifuatilia hilo gazeti baada ya kuona haya ya kwetu yanaandika ugoro na kumtukuza Joseph Kasheku Msukuma.

Pascal kuwa makini brother wala Nyama ya watu wamenogewa,wanatakutafuta wanakuona mchawi, wako mbioni kukupoteza,Joseph Kasheku Msukuma Tajiri Wa Mwanza hapendezwi kabisa unavyowaambia wakanushe wakati wenzako hawana pa kuanzia kukanusha,kama wanasema Kasheku Msukuma is bulldozing the Economy wakati wanajua ni kweli wataanzia wapi?
Chukua tahadhari au Nenda Gamboshi brother ili watekaji wasikuone kwenye rada zao.
 
Narudia tena Fredrick Kabendera ni yupi huyo ?
Huwez kumjua wewe, bali wale wenye hofu ya Mungu ndiyo wanaomjua Erick Kabendera, wewe umetawaliwa na kiburi cha uzimu ndiyo maana umekuwa na moyo mgumu kama huyo unaemshangilia kwa maovu yake, but amini ipo siku mchana au usiku Mungu atayalipa yoteee, endelelea na dhihaka zako
 
Naiona taasisi nyeti ta usalama ambayo umeitaja hapa ianze mara moja kukufuatilia na wewe maana nawe pia unaunga mkono vitendo vya kihaini
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
 
Huyu mwanamke siku hizi kama kapagawa vile.....comments zake zinatia shaka...halafu ambavyo huwa anajinasibu kuwa ana exposure kubwa.....mmmmmmhhh....kuna kitu hapa si bure..
Yaani mmama ana manyonyo mazuri kabisa ya kunyonyesha mtoto/watoto, ajabu ni kuwa anaonekana kushabikia mtoto wa mwenzie kuteswa bila amri ya mahakama.
 
Uhamiaji alifata nini?
Kufanya uchunguzi; inabidi uelewe maana ya kesi. Hata ukiitwa polisi au katika chombo chochote kwa ajili ya uchunguzi au kutoa maelezo bado hiyo si kesi. Unaweza kuhojiwa juu ya tuhuma lukuki bado si kesi mpaka kile kinachosajiliwa katika masjala ya mahakama ndo kesi. Na hapo bado mahakama hufanya determination kama kweli ni kesi ya kujibu au laa. Hivyo yoote ya uraia, n.k kabla ya mahakamani hayakuwa kesi.
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
Ninaumia Sana ninapoona mateso wanayopitia wasema kweli ninaamini Kabendera atatoka salama
Mungu ibariki Tanzania
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
Njaa na ukabila vitamuhukumu Paschal na kizazi chake no matter how anainufaisha jamiiforums ningependa atengwe pia na members Kwa kosa la usinitch.
 
Kuna watu watano wanaoipa jamii forum upekee, mmoja wapo ni pascal mayalla. Inahitaji kua na utashi na kuelewa uandishi wa "between the lines" wa pascal. Vinginevyo utatoka kapa. Serikali ina mkono mferu ikiamua kufanya kitu kwa raia yoyote ujue huchomoki, salama yako iwe ni kukimbilia nchi nyingine tena iwe ulaya au USA tu.
Acha ushamba wako kumtisha Pascal inawakela kwa sababu anapost Makala ambayo hamyapendi hapa jamiiforums ya the Economist tena kwa kiswahili.

Kama MTU anafanya vizuri hofu ya nini,Mpaka mmwage damu za watu haya mambo kuna siku yatakuja
kuwarudia,Jinai haifutiki kinga inaweza kufutwa kutokana na mahitaji ya jamii husika kwa wakati huo.

Tanzania ni yetu sote wala siyo ya Chadema,CCM,ACT wala MTU yeyote,Tanzania ni ya Watanzania.
 
Yaani mmama ana manyonyo mazuri kabisa ya kunyonyesha mtoto/watoto, ajabu ni kuwa anaonekana kushabikia mtoto wa mwenzie kuteswa bila amri ya mahakama.

Kuna siku alisema yy anachojali ni awe na afya njema ili aweze kufanya kazi na kujitunza yy na watoto wake...niliishia kuziba mdomo tu ....maana kwa sasa anaweza kujiona yuko salama ila siku litakapomkuta la ku,mkuta mtoto wake tena kwa kubambikiziwa ndo atakumbuka usemi wa "leo kwangu kesho kwako"
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
LA msingi hapo ni kuwa katika uandishi wake Ndg Kabendera hakuvunja sheria/kanuni yoyote katika kazi yake. Ndio maana hata hao polisi wanahanjahanja na mashitaka, kila siku wanaokoteza.
Siku hizi kujipendekeza ndio imekuwa mwendo wa wachumia tumbo, lakini hautodumu na mwisho wao utakujakuwa mbaya wa aibu. Atakapoondoka huyo mungu wao, wao watabaki na kovu/doa daima. Itabidi watafute pa kujificha kwani watasakwa ili walipe kwa uovu wao.
 
Njaa na ukabila vitamuhukumu Paschal na kizazi chake no matter how anainufaisha jamiiforums ningependa atengwe pia na members Kwa kosa la usinitch.
Nyie ndo masnitch,MTU yeyote ambaye yupo jamiiforums anajua mmeanzisha huu Uzi kwa malengo mahsusi,Pascal hawezi kuwajibu nyie Wa low profile kwa Uzi Wa kipuuzi mbaya zaid hata uchangiaji wenu unaonyesha ni jinsi gani mlivyo wapumba-----vu kama anavyowambia Joseph Kasheku Msukuma naye amewachoka kwa upumbavu wenu kama huu.
 
1.Sio atengwe aliyekuwa anaandika habari bila kufuata weledi na kuishia kutukana rais.
2. Unaposema hakumuita na kumuonya ina maana ye hakuwa anaingia humu jf na kusoma maandiko ya pasco au alikuwa anapuuza?
3. Kisha ndugu zake na mama yake wanapataje shida wakati alikuwa na backup ya watu wengi wakiwemo kina zitto, waende wakahudumie familia. Au anzisheni kapu la kuchangia familia yake.
4. Unapozichokoza mamlaka na kujiona shujaa jua tu utalipia gharama siku moja, ni suala la muda. Hata tundu lissu kalipia gharama. Na akiendelea atalipia tena. Kifupi dunia ina kanuni zake. Hiyo ni principle ya dunia nzima.
5. Lakini pia watz tumshukuru sana Pasco kwa kufichua habari za huyu kinyamkera ambaye ni ant government. Watu hawa wapo nchi nyingi tu. Lakini nadhani habari yake kwisha. Mtapiga makelele baada ya muda mtasahau na maisha yataendelea. Pengine atapelekewa tu tarifa za kifo cha mama yake kwa kukosa dawa. Kina zitto nao baada ya muda watakuwa bize na mambo yao na kumsahau kabisa.
Kwa kifupi tunasema msiba Wa kujitakia hauna matanga. Kina Zitto & Co. Wamemtumia kisha watamtelekeza. Kelele za humu hata week haiishi watamsahau
 
....a,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%...
Unaweza kudhibitisha pasipo shaka tuhuma zako hizi!? Acheni kudanganyika na likes za JF.
===
Kwa mara ya kwanza wakati Pascal anapandisha uzi uliokuwa unatuonyesha jinsi The Economist walivyokuwa wanatudhiaki watanzania kutokana na maaandishi ya kibri na kebehi kutoka Jarida hilo (Kumbuka rais wetu wa nchi ni nembo yetu ya Taifa), ulichukua hatua gani kumshauri mwandishi na mhariri wa Jarida hilo kuacha mara moja ufedhuri dhidi ya nchi yetu!?

Si-ungi mkono hata mara moja uonevu, lakini yeyote anayedhiaki utaifa, utanzania, uafrika wangu na wenzangu pamoja na kudhiaki utu wa mtu kwa ujumla wake kwa sababu yoyote ile, anastahili adhabu yangu au ya mamlaka husika. Atasamehewa tu akijutia kosa lake kikweli kweli kiasi kwa namna yoyote ile hatagundulika kuwa anaomba msahama kwa hila.
 
Kwasababu kila kitu unadhani,na Mimi nadhani ungemshauri huyo Kabendera atumie akili zake sio za Mabeberu kama Lisu ili asije kuingia matatani kazi ambayo unadhani angeifanya Mayalla.
 
Back
Top Bottom