Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati Magufuli

Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati Magufuli

SGR DAR MORO unasafirisha mzigo wa nani... acheni uzwazwa yaani nibebe mzigo wangu afu ushuke moro afu niubebe tena utafika lini kigoma? endeleeni tu na usanii wenu
Mtazamo wako ni mfupi, yaani unataka matokeo ya sasa hivi. Lakini tambua kuwa ujenzi wa miundombinu ni plan za muda mrefu ambazo matokeo yake huanza kuonekana wakati mwingine zaidi ya miaka 10.
 
we kubali tu wazazi walikosea kukupa hilo jina. kifupi mayala ni NJAA
Mkuu MWALLA, no hawajakosea!, Mayalla is not a given name, it's a sir name, unazaliwa unalikuta. Aliyekosea ni yule aliyesema Mayalla maana yake ni mwenye njaa badala ya mtu aliyezaliwa kipindi cha baa la njaa, hivyo kupelekea watu kuniita njaa!, na kauli nyingine zina nguvu, hivyo sasa njaa inanitembelea.
P
 
Mkuu MWALLA, no hawajakosea!, Mayalla is not a given name, it's a sir name, unazaliwa unalikuta. Aliyekosea ni yule aliyesema Mayalla maana yake ni mwenye njaa badala ya mtu aliyezaliwa kipindi cha baa la njaa, hivyo kupelekea watu kuniita njaa!, na kauli nyingine zina nguvu, hivyo sasa njaa inanitembelea.
P
alafu HANGAYA nae amekupotezea yani njaa juu ya NZALA!
bro hivi ile tukutuku yako uliuza? maana sikuoni nayo 😀 😀
tutembeleane UMOJAHOUSE
 
Mtazamo wako ni mfupi, yaani unataka matokeo ya sasa hivi. Lakini tambua kuwa ujenzi wa miundombinu ni plan za muda mrefu ambazo matokeo yake huanza kuonekana wakati mwingine zaidi ya miaka 10.
BORA wewe kijana umesema ukweli lkn hawa wenzio bado vicchwa vimejaza uongo mtupu eti SGR kuanza kutumika 2020 haya leo ni lini?
 
Mtazamo wako ni mfupi, yaani unataka matokeo ya sasa hivi. Lakini tambua kuwa ujenzi wa miundombinu ni plan za muda mrefu ambazo matokeo yake huanza kuonekana wakati mwingine zaidi ya miaka 10.
ikianza kubeba viparcel unistue mkuu
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom