#COVID19 Pascal Mayalla: Viongozi wa Umma wajitokeze kuchanjwa, wasiopenda wakae kimya


NA WAO WANAOCHANJA WAKAE KIMYA SIYO KUWANANGA WASIOCHANJA.... AU WANAOPINGA KUCHANJA. Mbona wao Serikali walisema Barakoa za nje si salama na hawakunangwa .?
 
Hii ni nchi huru ambapo kila mtu yuko huru kusema chochote bila kuathiri sheria za nchi. Kama wao wanatangazia wengine kwenda kuchanjwa, kwanini tusiochanjwa tukiwatangazia wenzetu kutochanjwa inakuwa nongwa?

Kama hawataki watu kuhamasishana kukataa chanjo waanze wao kusitisha kampeni ya kuwambia wengine wakachanje. Kila kundi likae kimya. Thats all
 
maambukizi yanaongezeka, vipi kuhusu vifo vya wakati huu wa chanjo na kabla ya chanjo?
Hata Wakati huu pia vifo vinzidi kuongezeka sema tupo kipindi ambacho tushazoea hii hari hata tukiona habari za vifo hatuchukulii kwa uzito huo, kama covid-19 ilivo ingia kwa mara ya kwanza. That why tunaona kawaida tushazoea hayo mapito
 
kwakweli ukiwa na magonjwa hatari kama Ukimwi, Moyo, Sulari, TB, Presha ni bora upate chanjo mapema maaana ukichelewa unahatarisha uhai wako.
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…