Kumbe kusoma shule Moja na TUNDU Lissu, Si kuwa na Maarifa,
Yaani ilboru iliyomtoa TUNDU Lissu Kwa walimu wale wale, ndiyo pia imemtoa Pasco mayalla anayetuaibisha JF tuonekane wale wale!
Yaani Watanzania twende tena kumpigia magoti Mwenyekiti wa kijani Ili atupe hisani ya kubadili Katiba mpya Ili kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi!
Ifike Mahali uache dharau Kwa Watanzania.
Ngoja niishie hapa!
Karibuni 🙏
Yaani ilboru iliyomtoa TUNDU Lissu Kwa walimu wale wale, ndiyo pia imemtoa Pasco mayalla anayetuaibisha JF tuonekane wale wale!
Yaani Watanzania twende tena kumpigia magoti Mwenyekiti wa kijani Ili atupe hisani ya kubadili Katiba mpya Ili kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi!
Ifike Mahali uache dharau Kwa Watanzania.
Ngoja niishie hapa!
Karibuni 🙏