Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Njaa, yumo kwenye orodha ya malipo ya chama chakavuMtu mzima kujitoa ufahamu inaudhi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa, yumo kwenye orodha ya malipo ya chama chakavuMtu mzima kujitoa ufahamu inaudhi sana!
Kwa shithole c.Ukimchukulia Raisi kama Mkeo au Mumeo au rafiki au mshkaji, unaweza kuwa sawa. Lakini ukimchukulia kama Sovereign Authority Mayala ana point.
Endelea na Ujinga wako,Siasa jaman ndo kinacho endelea ikipitishwa iyo katiba mtuambie wapwa
Sasa Lissu akili kubwa anaanzaje kujibu swali duni kiasi hicho?Amejibiwaje na Kamanda Lissu?
Uchawa huondoa akili, akiacha uchawa akili zitamrudiaKumbe kusoma shule Moja na TUNDU Lissu, Si kuwa na Maarifa,
Yaani ilboru iliyomtoa TUNDU Lissu Kwa walimu wale wale, ndiyo pia imemtoa Pasco mayalla anayetuaibisha JF tuonekane wale wale!
Yaani Watanzania twende tena kumpigia magoti Mwenyekiti wa kijani Ili atupe hisani ya kubadili Katiba mpya Ili kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi!
Ifike Mahali uache dharau Kwa Watanzania.
Ngoja niishie hapa!
Karibuni 🙏
Kwenye issue ya bandari alikuja na thread zake za hadaa kuwa mikataba itarekebishwa bungeni,Njaa, yumo kwenye orodha ya malipo ya chama chakavu
Najipongeza kwa kumdharau mapema sanaKwenye issue ya bandari alikuja na thread zake za hadaa kuwa mikayaba itarekebishwa bungeni,
Kumbe anatumika kuzima mijadala.
IPO siku!
Pascal Mayalla njoo huku...Kumbe kusoma shule Moja na TUNDU Lissu, Si kuwa na Maarifa,
Yaani ilboru iliyomtoa TUNDU Lissu Kwa walimu wale wale, ndiyo pia imemtoa Pasco mayalla anayetuaibisha JF tuonekane wale wale!
Yaani Watanzania twende tena kumpigia magoti Mwenyekiti wa kijani Ili atupe hisani ya kubadili Katiba mpya Ili kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi!
Ifike Mahali uache dharau Kwa Watanzania.
Ngoja niishie hapa!
Karibuni 🙏
Nakuunga mkono!Najipongeza kwa kumdharau mapema sana
Mwandishi wa habari wa kujitegemea akiwa kada wa CCM wakati huo huo!Mbona ameongea pumba naomba walinzi wampige mitama🤔
Yaani Leo swali lake ameuliza kama Steve Chawa!Apigwe ban ya miezi mitatu
Kumbe kusoma shule Moja na TUNDU Lissu, Si kuwa na Maarifa,
Yaani ilboru iliyomtoa TUNDU Lissu Kwa walimu wale wale, ndiyo pia imemtoa Pasco mayalla anayetuaibisha JF tuonekane wale wale!
Yaani Watanzania twende tena kumpigia magoti Mwenyekiti wa kijani Ili atupe hisani ya kubadili Katiba mpya Ili kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi!
Ifike Mahali uache dharau Kwa Watanzania.
Ngoja niishie hapa!
Karibuni [emoji120]