Paschal umetuaibisha JF, kwamba Watanzania tukampigie magoti Mwenyekiti wa kijani kuomba Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya!

Siasa jaman ndo kinacho endelea ikipitishwa iyo katiba mtuambie wapwa
Endelea na Ujinga wako,

Kule Goma, Bukavu wamefika hapa baada ya wananchi aina Yako kupuuza HAKI katika chaguzi na kuwadhibiti viongozi.
 
Uchawa huondoa akili, akiacha uchawa akili zitamrudia
 
Pascal Mayalla njoo huku...
 

Amen
 
Yaani Watanzania Walio boss wa watawala, tukawapigie magoti Ili kupewa Tume huru ya Uchaguzi ya hisani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…