Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Mkuu Britanicca, ile ya Urusi, Rostov on Dhow ilianzia Jeshini JKT Makotupora, ndio ilikuwa nyumba kubwa!. Alikwenda Urusi for medicine, 7 years with promises nita wait!,.Nikiwa Chuoni huku nasubiria, data za kukatishana tamaa zikaanza kushuka kuwa kwa baridi ya Rostov, full time barafu, mtu hawezi kupiga 7 years bila bila!, itaganda na kugeuka barafu!, lazima ipashwe!.

Huku class kuna kabinti kamekufa, kameoza!, Ile kumaliza tuu chuo ni fasta altareni!.
P
Haha nimekusoma kumbe ni mkubwa! Nikadhani ndo mdogo
 
Hebu tuache mambo mengine bhana sio fresh kumpaka matope hivi..
Mkuu Hardbody, kwanza sio kunipaka matope, ni kweli enzi zangu nilikuwa a bod boy!, let the bygones be bygones
Staha itawale
Naunga mkono hoja , hii ni mada ya kuhusu umalaika, hivyo tusikumbushie enzi za ushetani, hata shetani mwanzo alikuwa malaika, alipoasi ndio akageuka shetani. Shetani nae akitubu anageuka malaika kama Saulo na Paulo
P
 
Kwenye siku halisi ya kifo cha JPM, kuna vitu viwili,
1. Ukweli Halisi
2. Utii.

Siku zote ni Mwanamke pekee ndie mwenye kuujua ukweli halisi wa Baba wa mtoto ni nani, hivyo wewe kama mtoto mtiifu ukiisha ambiwa na Mama yako kuwa huyu ni Baba yako, anakuwa ndie Baba yako hata kama wewe hufanani nae, unafanana na watoto wa jirani, au unafanana na bosi wa kazini kwa mama, huruhusiwi kuhoji!. Baba yako ni yule uliyeambiwa!.

Kungekuwa na mandatory DNA tests kwa kila familia, familia zingeparaganyika sana!, ndio maana tunapowaambia wanawake wana akili kuliko wanaume, Wanawake Wana Akili Kuliko Wanaume? Hata kwenye Siasa na Uongozi, Wanawake Wameonyesha Uwezo Kuliko Wanaume, mtuelewe na huu ndio ukweli wenyewe.

Siku halisi ya tukio ilitangazwa kwenye mitandao na kijana wao Jasusi ilikuwa ni tarehe 12 March, na mimi kwasababu ni mtu wa kuhoji nilihoji Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Toka ile tarehe 12, Rais wa Zanzibar alifuta all hizi public engagements ziara zilifutwa mikutano iliahirishwa akisubiria taarifa rasmi.

Wakati wa hizo siku tano, huku bara ndio tukaelezwa Mtu yuko fit anapiga kazi!, mara taarifa za hali ya JPM zinatolewa na Balozi wetu wa Zimbabwe!. Mara Mama anapangiwa ziara ya ghafla Tanga!.

Maadam tumetangaziwa rasmi ni tarehe 17, March, kanuni ya utii, inatuelekeza utii kwa mamlaka halali, hivyo tukio limetokea tarehe 17 Machi 2021.
P.
Sasa kama hao tunaowaamini wanatudanganya je? Ni mangapi ambayo tumewahi na tunazidi kudanganywa na hao tuliowaamini na wakatuaminisha tuwachague. Unadhani kwa akili ndogo hao watu wana kila sababu ya wao kuwepo hapo?
 
FaizaFoxy , japo nakupenda na kuniita njaa hakutapunguza kukupenda, ila hata baada ya kueleza jinsi kauli negative zinapotamkwa na kurudiwa rudiwa zinaumba, hivyo wewe ni mtu wa kuniumbia mimi njaa?!. Nilidhani Allyoki na Mebu wameisha kueleza wanakirudisha Kiti Moto, hewani!, presenta wao ni mimi mimi, hivyo hii njaa itakwisha!.

I don't believe you are such wicked woman wa kiasi hiki!.
Kwa Jina la Yesu, ushindwe na ulegee!
P
Kiti moto kinarudi mzee
 
Mkuu am 4 real , mimi nafahamika na wengi ni Mzee wa kutembea na Joni Mtembezi, hivyo kudhani nikifungua kanisa, badala ya kutumia divai nitamtumia Joni Mtembezi na waumimi wangu watakuwa ni watembezi wenzangu wa Joni Mtembezi.
P
John walker 😊😊😊😊 ni vizuri kabisa kama ukitumia hausumbui mtu Wala kusababisha madhara kwa majirani ,ndugu, jamaa, marafik na familia Kwa ujumla....

Jana usiku mke wangu alipigiwa simu na dada yake mkubwa kua mmewe amerud amelewa na anatukana njia nzima akifika nyumbani anaanza mtukana mkewe sana matusi ya maungo mengine mengi mbele ya watoto hii imekua tendency Sasa ila akiwa mzima ni mstaarabu sana Kwa uzoefu wako hapo tupe darasa kidogo from your experiences...

Nimeishi na watu wanakunywa pombe hawatukani,hawasahau maongezi na makubaliano wanatunza wake zao na familia Kwa ujumla....

Ni nini maoni yako Kwa watu mbali mbali kuhusu pombe...?

paschal Mayalla
 
Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.

Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.

Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.

Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo,Mimi nilidisco sababu ya ugumu wa masomo ila mwenzangu nasikia ilikuwa ni figisu figisu tu za prof mmoja sio sababu ya uwezo mdogo.
Baada ya kudisco nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili. Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.

Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.

Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi. Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.

Atumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.

Maana kila utawala unamsukumia kambo utadhani hana kitu kichwani na kwa umri wake sitegemei kuona akipata teuzi,

Ni ushauri tu.
yaani JF home of great thinkers, mnaleta uzi wa utani utani kama huu, kweli?
 
John walker 😊😊😊😊 ni vizuri kabisa kama ukitumia hausumbui mtu Wala kusababisha madhara kwa majirani ,ndugu, jamaa, marafik na familia Kwa ujumla....

Jana usiku mke wangu alipigiwa simu na dada yake mkubwa kua mmewe amerud amelewa na anatukana njia nzima akifika nyumbani anaanza mtukana mkewe sana matusi ya maungo mengine mengi mbele ya watoto hii imekua tendency Sasa ila akiwa mzima ni mstaarabu sana Kwa uzoefu wako hapo tupe darasa kidogo from your experiences...

Nimeishi na watu wanakunywa pombe hawatukani,hawasahau maongezi na makubaliano wanatunza wake zao na familia Kwa ujumla....

Ni nini maoni yako Kwa watu mbali mbali kuhusu pombe...?

paschal Mayalla
Lengo la kilevi ni relaxation, ila ukizidisha unalewa. Ukilewa sana unapoteza all sense of proportions ndio kule kukosa balance, kusema ovyo, kutukana sometimes hadi kuzimika.

Akisemacho mtu ulevini ndicho cha kweli akiwazacho. Hii maana yake kuna tatizo akiwa sober hawezi kutukana, ila akilewa ndio anatukana, ina maana anatukanaga kimoyomoyo akilewa ndio aibu inakata anatukana kwa sauti.

Mtu akizidisha ulevi unageuka ni ugonjwa, mtu anakuwa an alcoholic, na wengine wanapata uraibu, bila kulewa hawezi kufanya chochote!. Alcoholism ni ugonjwa kama mateja, unatibika sober house.

Kwa kadri unavyokunywa ulevi wa bei poa ndivyo ulevi huo unavyokuwa na madhara makubwa kimwili, kiafya na kiakili, mfano hard drinks, piwa, bongo, chang'aa zote ni familia ya konyagi, k-vant, gin, vodka , whiskey and brandy.

Mimi sijawahi kabisa kunywa bia, mimi napiga vikali tuu!. Nikitembea na Joni Mtembezi alama nyeusi, stimu yake ni short lived, haina harufu na haina hangover!, uki sip tuu, unaanza kuwaza mawazo ya mambo mazuri. Nilkilewa wale wadada unawaona kama vinyago!.

Lakini nikinywa kilevi kama Nyagi au K Vant, stimu zake zinashuka, kuanzia wahudumu unawaona ma miss!.

Namuomba Mungu aniwezeshe ili nitoke kwenye Black Label niende kwenye Gold Label na Blue Label.
P
 
Mkuu Hardbody, kwanza sio kunipaka matope, ni kweli enzi zangu nilikuwa a bod boy!, let the bygones be bygones

Naunga mkono hoja , hii ni mada ya kuhusu umalaika, hivyo tusikumbushie enzi za ushetani, hata shetani mwanzo alikuwa malaika, alipoasi ndio akageuka shetani. Shetani nae akitubu anageuka malaika kama Saulo na Paulo
P
Umemalza kila kitu Mkuu Ulitumia vyema nguvu za Psychic A.k.A Psychic Powers kama Ule Uzi Wako mmoja somedays hahaaa 😂 😂 😂
 
Lengo la kilevi ni relaxation, ila ukizidisha unalewa. Ukilewa sana unapoteza all sense of proportions ndio kule kukosa balance, kusema ovyo, kutukana sometimes hadi kuzimika.

Akisemacho mtu ulevini ndicho cha kweli akiwazacho. Hii maana yake kuna tatizo akiwa sober hawezi kutukana, ila akilewa ndio anatukana, ina maana anatukanaga kimoyomoyo akilewa ndio aibu inakata anatukana kwa sauti.

Mtu akizidisha ulevi unageuka ni ugonjwa, mtu anakuwa an alcoholic, na wengine wanapata uraibu, bila kulewa hawezi kufanya chochote!. Alcoholism ni ugonjwa kama mateja, unatibika sober house.

Kwa kadri unavyokunywa ulevi wa bei poa ndivyo ulevi huo unavyokuwa na madhara makubwa kimwili, kiafya na kiakili, mfano hard drinks, piwa, bongo, chang'aa zote ni familia ya konyagi, k-vant, gin, vodka , whiskey and brandy.

Mimi sijawahi kabisa kunywa bia, mimi napiga vikali tuu!. Nikitembea na Joni Mtembezi alama nyeusi, stimu yake ni short lived, haina harufu na haina hangover!, uki sip tuu, unaanza kuwaza mawazo ya mambo mazuri. Nilkilewa wale wadada unawaona kama vinyago!.

Lakini nikinywa kilevi kama Nyagi au K Vant, stimu zake zinashuka, kuanzia wahudumu unawaona ma miss!.

Namuomba Mungu aniwezeshe ili nitoke kwenye Black Label niende kwenye Gold Label na Blue Label.
P
Thanks brother paschal umekua msaada sana Kwa taifa na hata humu ndani Jf
Nimejifunza mengi sana kwenye hii comment yako
Ni hakika mtu Alie lewa kusema yaliyo jificha moyoni...
 
Mkuu Pascal ,heko kwako je ulishawahi kuwa na wazo la kuandika memoir?

Nadhani pia utakua ni msomaji mzuri sana wa vitabu je unaweza kurecommend hapa your best five books ever ambavyo watu wanaweza kuvisoma?
 
Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.

Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.

Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.

Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo,Mimi nilidisco sababu ya ugumu wa masomo ila mwenzangu nasikia ilikuwa ni figisu figisu tu za prof mmoja sio sababu ya uwezo mdogo.
Baada ya kudisco nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili. Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.

Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.

Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi. Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.

Atumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.

Maana kila utawala unamsukumia kambo utadhani hana kitu kichwani na kwa umri wake sitegemei kuona akipata teuzi,

Ni ushauri tu.
Hapa pia unabii unaendelea
Wanabodi, kwenye bandiko hili Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... nilishauri
Wanabodi,

Hili ni bandiko la kuhamasisha a mass mobilization ya kupata kundi kubwa la watu, kuunga mkono kwa dhati, juhudi kubwa zinazofanywa na Mkuu Mhe. Paul Christian Makonda, katika vita mbalimbali,

Hivyo hili ni bandiko la wito kwa kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki wa dhati, wanaomjua Makonda kwa karibu na kwa ukweli, njooni tujitokeze kwa wingi, kumtetea Makonda tunayemfahamu dhidi ya uongo na uzushi unaozushwa na kusambazwa na mapapa wauza unga

Ndugu, Jamaa na Marafiki, Tujitokeze Kwa Wingi Kumtetea Makonda
Paskali.
Hata baada ya kuteuliwa kuwa Mwenezi wa CCM, Paul Makonda bado anapigwa vita na wasiomtakia mema, wasioitakia mema CCM na wasio itakia mema Tanzania.

Japo Tanzania ni nchi ya vyama vingi, na kwa mujibu wa katiba ya Tanzania, mamlaka kuu ya nchi ni wananchi, kupitia katiba, serikali ya CCM ilifanya mabadiliko ya katiba kinyume cha katiba na kupoka ukuu wa mamlaka kuu ya wananchi, na kuikakabidhi kwa chama cha siasa, ambapo sasa mamlaka Kuu ya nchi ni chama tawala, CCM ndio imeshika hatamu kuongoza serikali, hivyo katika ukuu wa chama, CCM ndio kila kitu, hivyo Makonda kama msemaji wa CCM, kikao cha CCM kinaweza kumwagiza Rais wa JMT atekeleze jambo lolote lililoelekezwa kwenye ilani ya CCM, Katibu Mwenezi ndie msimamizi wa ilani ya CCM, ana mamlaka yote ya kumuamrisha hadi Rais wa JMT, atekeleze ilani ya uchaguzi ya CCM, hivyo Makonda yuko very right kumuamrisha Waziri Mkuu na kumpa ultimatum ya miezi 6 kumaliza migogoro yote ya ardhi ya nchi hii.

Na baada ya miezi 6, kama Waziri Mkuu, Majaliwa Kasim Majaliwa atashindwa kuitatua migogoro yote ya ardhi, atakuwa ni ameshindwa kazi, Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi, itakutana na kumuagiza Rais wa JMT, kumuondoa Waziri Mkuu, kwa kushindwa kazi na kumteua Waziri Mkuu mwingine mwenye uwezo.

Hata ikitokea Rais Samia ameshindwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, chama kinaweza kumfuta uanachama na hivyo kupoteza urais!, hivyo Mwenezi wa CCM ni mtu mkubwa sana, kuliko serikali yote ya Tanzania, na hii ndio maana halisi ya Party Supremacy, CCM ndio imeshika hatamu za kuiongoza serikali ya Tanzania .

Hongera sana Mwenezi mpya wa CCM, Paul Makonda, kuiheshimisha CCM, endelea kutoa maagizo na ultimatum kwa viongozi wote kuhusiana na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM, wewe ndiye msimamizi wa ilani ya CCM!.

Angalia ilani ya CCM imeelekeza nini kuhusu Bunge la JMT, toa maelekezo kwa Spika with ultimatums, Spika akishindwa kutekeleza Spika anaondolewa!, enzi za Spika Sitta, aliponea chupu chupu kuondolewa, kuna mtu mmoja very powerful ndani ya CCM aitwae "The King Maker" ndie alimuokoa Spika Sitta kwa kumpa maelekezo Mwenyekiti wa CCM, JK, na hii ndio salama yake!.

Makonda angalia ilani ya uchaguzi ya CCM inasema nini kuhusu mhimili wa Mahakama, toa maagizo with ultimatum kwa Jaji Mkuu atekeleze.

Angalia ilani ya uchaguzi inasema nini kuhusu majeshi, ulinzi na usalama, toa maelekezo with ultimatum kwa Amiri jeshi Mkuu na kwa Mkuu wa majeshi, IGP , etc.

Ila kwa nafasi ambazo sio za kichama kama Jaji Mkuu, Mkuu wa Majeshi, CAG, Mwenyekiti wa NEC, Msajili wa Vyama vya Siasa, Wakuu wa vyombo vya Ulinzi, Mwenyekiti wa Tume ya Utawala Bora na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma ambao ni wateule wa rais, Paul Makonda anaweza kuwapa maelekezo bila ultimatums kwasababu hawa chama hakiwezi kuwafanya chochote, na badala yake, chama kitampa maelekezo mamlaka yake ya uteuzi ambaye ni Rais wa JMT, awaondoe!.

Kiukweli ninamkubali sana Paul Makonda!, Tangu nilipoanza kumkubali Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
He has never let me down!. Tena niliwahi kushauri Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... ushauri huu still stands, kwasababu miaka hii 4 ya Mama ni kumalizia awamu ya Magufuli, awamu ya baada ya Magufuli inaanza 2025, ila Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hivyo you never know with politics, everything is possible!.

Paul Makonda kanyaga mwendo, chapa kazi, kazi iendelee!.
Paskali.
 
Mkuu unataka kutuambia ...hakuwa Mtanganyika!?
Kwa mujibu wa mwana JF britanicca,
Baba Mhutu, mama Mtanzania Mhaya!, biological father alivuka upande huu, akampenda binti yetu, akamtwaa, akaenda nae kwao, akamzalisha watoto wawili, a boy and a girl ambao wote walizaliwa kwao!.

Kule akam mistreat dada yetu, dada akawasomba wanae na kurejea nao Tanzania, wakiwa 7 years a girl na 5 years a boy!. Akarejea kwa wazazi wake Tanzania. Babu akawabadili majina na kuwapa majina ya kihaya hivyo kuwageuza kabila!.

Huku Tanzania, akatokea Mtanzania, wa kabila lile, akampenda mama despite kuwa na watoto wawili kabla, akamuoa. Kabila hilo ndilo kabila linaloongoza kwa wanaume kupenda!, Uncle wangu, amependa Mwanamke wa Tanga, mwenye watoto 3, na wote akawachukua. Hata mimi nina watoto 4 US, wawili ni wangu, na wawili walizaliwa mimi nikiwa huku, hata hivyo ni wangu kwasababu mke ni wangu na nawapenda kwa dhati!.

Ngosha akamchukua mama, na kwenda kuishi nae kwake, wale watoto wawili wa yule Baba wa mwanzo, wakabaki kwa babu!.

Wa kike alifanya kazi za nyumbani, wa kiume alichunga mbuzi wa babu, hakuna kwenda Shule.

Mama kule akawa hana raha kuhusu wanawe hawa, Msukuma kuuliza kipi kikusikitishacho, mama akajibu mwanangu hasomi anachunga tuu mbuzi wa babu yake!. Ndipo akachukuliwa na Baba wa watu aka wa adopt the traditional way, akaandikishwa shule kwa jina la huyo baba na hivyo kugeuka kabila lile ndio akawa Mtanzania!.

Niliposhauri Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? nilimaanisha, na sasa kuna huyu mwingine!, kiukweli kabisa wale 'jamaa zetu' ni bure kabisa!, hakuna kitu pale!.
P
 
Kwa mujibu wa mwana JF britanicca,
Baba Mhutu, mama Mtanzania Mhaya!, biological father alivuka upande huu, akampenda binti yetu, akamtwaa, akaenda nae kwao, akamzalisha watoto wawili, a boy and a girl ambao wote walizaliwa kwao!.

Kule akam mistreat dada yetu, dada akawasomba wanae na kurejea nao Tanzania, wakiwa 7 years a girl na 5 years a boy!. Akarejea kwa wazazi wake Tanzania. Babu akawabadili majina na kuwapa majina ya kihaya hivyo kuwageuza kabila!.

Huku Tanzania, akatokea Mtanzania, wa kabila lile, akampenda mama despite kuwa na watoto wawili kabla, akamuoa. Kabila hilo ndilo kabila linaloongoza kwa wanaume kupenda!, Uncle wangu, amependa Mwanamke wa Tanga, mwenye watoto 3, na wote akawachukua. Hata mimi nina watoto 4 US, wawili ni wangu, na wawili walizaliwa mimi nikiwa huku, hata hivyo ni wangu kwasababu mke ni wangu na nawapenda kwa dhati!.

Ngosha akamchukua mama, na kwenda kuishi nae kwake, wale watoto wawili wa yule Baba wa mwanzo, wakabaki kwa babu!.

Wa kike alifanya kazi za nyumbani, wa kiume alichunga mbuzi wa babu, hakuna kwenda Shule.

Mama kule akawa hana raha kuhusu wanawe hawa, Msukuma kuuliza kipi kikusikitishacho, mama akajibu mwanangu hasomi anachunga tuu mbuzi wa babu yake!. Ndipo akachukuliwa na Baba wa watu aka wa adopt the traditional way, akaandikishwa shule kwa jina la huyo baba na hivyo kugeuka kabila lile ndio akawa Mtanzania!.

Niliposhauri Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu? nilimaanisha, na sasa kuna huyu mwingine!, kiukweli kabisa wale 'jamaa zetu' ni bure kabisa!, hakuna kitu pale!.
P
Mkuu naomba niongeze nyama nilikuwa na mfanyakazi wangu Mzee mmoja wa kibondo waliporudi walirudi huku wakiwa hawana kitu wakapokelewa kibondo anasema mwendaze alikuwa hajui Kiswahili na alikuwa mkorofi Sana .anamjua in personal Hadi jina lake la kihutu
 
Mkuu naomba niongeze nyama nilikuwa na mfanyakazi wangu Mzee mmoja wa kibondo waliporudi walirudi huku wakiwa hawana kitu wakapokelewa kibondo anasema mwendaze alikuwa hajui Kiswahili na alikuwa mkorofi Sana .anamjua in personal Hadi jina lake la kihutu
Haya mambo tumeyaongea sana humu,


P
 
Back
Top Bottom