Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

We hua unatumia mbinu zipi kujua mambo?
kuna vitu wewe kama sio mmoja wao huwezi kuvijua. sasa nashindwa kuelewa awa mashushushu wanajulikana vipi kirahisi rahisi na ngumbalu ambao hata mgambo tu awajapitia. watanzania ifike wakati tubadilike. sio kila kitu ni cha kukihusisha na intelijensia
Wabongo wanawashobokea sana watu wa mfumo sjui kitengo
Wanawaona watu wa ajabu

Ova
wana uspecial gani bwana
 
Kabisa mkuu kuna watu wamekalia ofisi za umma wanakula kodi zetu kichwani zero,Pascal akili nyingi yuko nje ya mfumo,not fair
 
Kwa mujibu wa maandiko yake yanayothibitika mzee wake alikuwa kitengo Enzi za mwalimu,ila kuhusu yeye hakuna mwenye ushahidi kwa hilo
 
Ukizaliwa kwenye familia ya vipepeo weusi basi Kwa namna moja au nyingine utajikuta na wewe unatabia za kipepeo mweusi hata kama wewe sio kipepeo mweusi na marafiki nao watakuwa tu na Tabia za kufanana na vipepeo weusi ukiwa nao karibu lazima utajua maua wanayopenda kurukia utajua sehemu wanazopenda ila akipunguza ujuaji nakuwa mpole angekuwa miongoni mwa walamba asali ujana ulimponza saivi amekuwa kipepeo mwenye madoa doa meusi ila sio kipepeo mweusi
 
Kutoka kuwa mgombea ccm mpaka kuwa nabii, ndio maana nchi haiendeleai aisee
 
Tujadili Issues!!
Hii ni moja ya issues... Usidhani tunamjadili mzee mayalla,tunachokijadili hapa ni kilichobebwa/ kilichomo ndani ya mayalla. Huyu ana uzoefu wa hali ya juu kwenye diplomasia,habari,usalama wa nchi,kuijua vyema katiba na sheria za nchi na uzoefu katika mambo ya utawala.
Tuseme ukweli mayalla ni kiongozi anayepotea kutokana na nepotism na poor governance ya viongozi wetu.
Jokate ameweza
Sabaya
Makonda
Ally happy
Chalamila
Nape
Kafulila
Mwana FA
Ety mayalla aje ashindwe. Huu ni uchawi kabisa. Sio bure.
 
Kinachouma umri wake unakaribia 60,Taifa limeshindwa kabisa kuvuna maarifa yake kwa faida ya wote,sio haki
 
Pasco yuko vizuri kwakweli sema ndio hivo hatujui kiundani what really the obstacle behind

Ila kuna mda nae anasahau kabisa professional yake anaanza kushabikia pumba za ccm kuwin teuzi. He should learn the strong men are those who stend alone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…