Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Pascal Mayalla ni mtu makini sana. Vijana wa kileo tungelijifunza namna bwana huyu anavyoshauri bila kwa ujasiri bila hofu. Tanzania ingelikuwa mbali katika nyanja nyingi.
Mzee huyu sio mnafiki, nyeusi anaita nyeusi haijalishi kasimama mbele ya nani.
Huyu ni mtu muhimu kwa watawala kuwa nae karibu kwa ajili ya kuwashauri.
Hana uchawa, huyu angelimsaidia sana Mhe. Rais kumueleza tabia za wateule kabla Rais hajaingia aibu ya kuteuwa asubuhi na kutengua jioni.
Mzee huyu ni wakwenda nae vitani, huwa namfananisha na Kapt. George Mkuchika namna asivyochuja.
Mzee huyu sio mnafiki, nyeusi anaita nyeusi haijalishi kasimama mbele ya nani.
Huyu ni mtu muhimu kwa watawala kuwa nae karibu kwa ajili ya kuwashauri.
Hana uchawa, huyu angelimsaidia sana Mhe. Rais kumueleza tabia za wateule kabla Rais hajaingia aibu ya kuteuwa asubuhi na kutengua jioni.
Mzee huyu ni wakwenda nae vitani, huwa namfananisha na Kapt. George Mkuchika namna asivyochuja.