Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kama unatakiwa ulipwe hadi hapo ulipoandika ..."uzi tayari"...?Philips walitoa pasi kali sana durable ya rangi ya kijivu nyepeeesi ila sio mchezo kiutendaji. Haijawahi tokea pasi kali kama hii Tanzania. Uzi tayari.
Haiwezekani kwanza kabisa watanzani Sio watu smart pili white collar jobs Tz ni chache wengi wakulima na majitu ya hovyo yanayoshinda vijiweni kuongelea simba na yanga.Swali nje ya mada wakuu hivi unaweza kufanya biashara ya pasi pekee
Hao unaotaka kuwauzia pasi wana nguo za kutosha kubadilisha?Umeme ni chanzo rafiki kimalipo?Wana uchumi pendwa kununua pasi?Je,wana utamaduni wa kunyoosha nguo zao?Do they like being articulated as "pasnaa"?🤔Swali nje ya mada wakuu hivi unaweza kufanya biashara ya pasi pekee
Pasi huwezi japo hamna wa wa kutumia pasi kiasi icho, uza midundo, spika , mziki mnene japo vyote vinatumia umeme ila kibongobongo midundo ndo mahali pake.Swali nje ya mada wakuu hivi unaweza kufanya biashara ya pasi pekee
naunga mkono hoja. nimenunua sana pasi za mbwembwe sijui za mfuke sijui nini mwisho nikarudi kwenye phillips hii maana inadumu.Philips walitoa pasi kali sana durable ya rangi ya kijivu nyepeeesi ila sio mchezo kiutendaji. Haijawahi tokea pasi kali kama hii Tanzania. Uzi tayari.
Asante mkuu kwa ufafanuzi.naunga mkono hoja. nimenunua sana pasi za mbwembwe sijui za mfuke sijui nini mwisho nikarudi kwenye phillips hii maana inadumu.
Ila mkuu phillips now haitengenezi hayo yote vitu vya phillips unavyoviona now ni under lisence. phillips ilikuwa kuna wakati inatengeneza kila kitu kama samsung.
Phillips ilikuwa inajali sana wafanyakazi wake kwa kuwalipa pesa nyingi na mishahara minono. Ilifika kipindi ikawa nyuma ya muda ikaanza kula hasara.
Now phillips kama phillips imebaki tu kuunda vifaa vya hospitalini. Kwa sasa inaunda vitu kama MRT, CT SCAN, ULTRA SOUND na software za mahospitali.
Hongera kwa uzi mjomba.Philips walitoa pasi kali sana durable ya rangi ya kijivu nyepeeesi ila sio mchezo kiutendaji. Haijawahi tokea pasi kali kama hii Tanzania. Uzi tayari.
Kwenye pasi wana formula yao ya kipekee na sio formula ya kichinanaunga mkono hoja. nimenunua sana pasi za mbwembwe sijui za mfuke sijui nini mwisho nikarudi kwenye phillips hii maana inadumu.
Ila mkuu phillips now haitengenezi hayo yote vitu vya phillips unavyoviona now ni under lisence. phillips ilikuwa kuna wakati inatengeneza kila kitu kama samsung.
Phillips ilikuwa inajali sana wafanyakazi wake kwa kuwalipa pesa nyingi na mishahara minono. Ilifika kipindi ikawa nyuma ya muda ikaanza kula hasara.
Now phillips kama phillips imebaki tu kuunda vifaa vya hospitalini. Kwa sasa inaunda vitu kama MRT, CT SCAN, ULTRA SOUND na software za mahospitali.
Watu hamna huruma nyie, mnapiga kwenye mishono,...🤣🤣😂Haiwezekani kwanza kabisa watanzani Sio watu smart pili white collar jobs Tz ni chache wengi wakulima na majitu ya hovyo yanayoshinda vijiweni kuongelea simba na yanga.
Sio rahisiSwali nje ya mada wakuu hivi unaweza kufanya biashara ya pasi pekee