BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Duh we ni Pdidy?Njoo uchukue geto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh we ni Pdidy?Njoo uchukue geto
Wewe sema hujui pasi kama unanunua pasi chini ya elfu 80 hizo sio pasi kwa level za kibongo.Philips walitoa pasi kali sana durable ya rangi ya kijivu nyepeeesi ila sio mchezo kiutendaji. Haijawahi tokea pasi kali kama hii Tanzania. Uzi tayari.
Mimi nazungumzia pasi boss umeelewa vibayaDuh we ni Pdidy?
Ghetto na pasi wapi na wapi?Mimi nazungumzia pasi boss umeelewa vibaya
ina maana watanzania wanapenda mikelele 🤔Pasi huwezi japo hamna wa wa kutumia pasi kiasi icho, uza midundo, spika , mziki mnene japo vyote vinatumia umeme ila kibongobongo midundo ndo mahali pake.
Sasa huyo pdidy anahusiana vipi na pasi😀Ghetto na pasi wapi na wapi?
huyo jamaa kwenye avatar anatisha 😆Sasa huyo pdidy anahusiana vipi na pasi😀
Sasa huyu ndo anayemiliki pasihuyo jamaa kwenye avatar anatisha 😆
Hyo rangi inaitwa dark grey... Kwa nini isiwe kijivu sasa??Ile rangi sio kijivu mkuu
Sio dark gray.Hyo rangi inaitwa dark grey... Kwa nini isiwe kijivu sasa??
Ghetto au hujui Pdidy anawaelekezea watu ghetto kwake ukisia njoo uchukue ghetto kua makini na pdidySasa huyo pdidy anahusiana vipi na pasi😀
Na hii filipusi inayoonekana tz sio filipusi wewe unanunua filipusi kati ya 25 to 30k unaita philips? Kama umenunua kwa hiyo muda si mlefu unalia nimenunua philips zaidi ya 10 zinakufa vibaya Kuna brand za pass hamzijui pasi inadondoka kwenye tiles , ukichukua inaendelea kupiga kazi hizo zikidondoka usifanye kosa kugusa kwenye chuma ni sawa na kulamba umemenaunga mkono hoja. nimenunua sana pasi za mbwembwe sijui za mfuke sijui nini mwisho nikarudi kwenye phillips hii maana inadumu.
Ila mkuu phillips now haitengenezi hayo yote vitu vya phillips unavyoviona now ni under lisence. phillips ilikuwa kuna wakati inatengeneza kila kitu kama samsung.
Phillips ilikuwa inajali sana wafanyakazi wake kwa kuwalipa pesa nyingi na mishahara minono. Ilifika kipindi ikawa nyuma ya muda ikaanza kula hasara.
Now phillips kama phillips imebaki tu kuunda vifaa vya hospitalini. Kwa sasa inaunda vitu kama MRT, CT SCAN, ULTRA SOUND na software za mahospitali.
Basi ni rangi ya ndimu iliyooza kwenye mshikio ile coil pia ile kwingineko ni silver or steelSio dark gray.
Hivyo hivyo mkuu😂Sio dark gray.
AiseePhilips walitoa pasi kali sana durable ya rangi ya kijivu nyepeeesi ila sio mchezo kiutendaji. Haijawahi tokea pasi kali kama hii Tanzania. Uzi tayari.
Hakuna kitu hapaPicha kwa msaada wa guugo
View attachment 3118373
Unajifanya wa kishua sana, hizo Philips tumezitumia wengi na zinadumu sana tu. Sio hizi za siku hizi za kichina. Wakileta thread za magari bei mbaya mnakausha zimewazidi kimo. Za pasi mnakuja speed, umekomaa mara pasi kuanzia elfu 80 ndo pasi ili mradi tu kujifanya matawi. Haya pasi gani husemi.., Philips ya kijivu ya kipindi cha nyuma ilikuwa imara sana, na watanzania wengi wameitumia. Hizo nyingine za sijui pasi elfu 30 sio imara ni mbwembwe zako tu za kitoto. Sasa pasi nayo ya kujidai matawi!????..Na hii filipusi inayoonekana tz sio filipusi wewe unanunua filipusi kati ya 25 to 30k unaita philips? Kama umenunua kwa hiyo muda si mlefu unalia nimenunua philips zaidi ya 10 zinakufa vibaya Kuna brand za pass hamzijui pasi inadondoka kwenye tiles , ukichukua inaendelea kupiga kazi hizo zikidondoka usifanye kosa kugusa kwenye chuma ni sawa na kulamba umeme
Hii pasi ni nzuri sana ina roho ngumu mnoPicha kwa msaada wa guugo
View attachment 3118373
phillips kwa sasa hawatengenezi consumer gadgets ni under lisence.Na hii filipusi inayoonekana tz sio filipusi wewe unanunua filipusi kati ya 25 to 30k unaita philips? Kama umenunua kwa hiyo muda si mlefu unalia nimenunua philips zaidi ya 10 zinakufa vibaya Kuna brand za pass hamzijui pasi inadondoka kwenye tiles , ukichukua inaendelea kupiga kazi hizo zikidondoka usifanye kosa kugusa kwenye chuma ni sawa na kulamba umeme