Watu kama nyir bado tu mko maofisini hamjastaafu tu mtuondolee nuksi maofisini kwa mitizamo ya hovyo kama huu wako?Acha ushamba wewe, passport maana yake ni ya kupita mpakani.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Passport milioni 4 kila passport Shs.150,000 serikali ingepata shilingiSerikali ingeweza kutengeneza pesa nzuri kupitia uhamiaji kwa mkakati wa kuhakikisha Watanzania angalau milioni 4 wanapata Hati za kusafiria.
NIDA na kitengo cha Passport wote wako chini ya wizara moja ,wizara ya mambo ya ndanini ajabu mtu anaomba pasi ya kusafiria anajaza taarifa ambazo zinapatikana kwenye kitambulisho cha taifa unabaki unajiuliza mifumo haisomani au ni Njia tu ya kujitengenezea mwanya wa rushwa?
Yani pesa ya maana kabsa halaf wapo wamekaa tu wanajisifia bila aibu kwa kutoa pasi 190,000 wenzetu (nchi Jirani) wataendelea kutukimbiza kwenye kiła kitu tukienenda kwa mitazamo hii ya kijimaPassport milioni 4 kila passport Shs.150,000 serikali ingepata shilingi
600,000,000,000 yaani shilingi mia sita bilioni
Kitengo cha passport ni mgodi wa dhahabu ambao serikali haitaki kuutumia kupata pesa kupitia kutoa passport
Aibu sana hii mpaka unajiuliza hawa watu maofisini huma wanaenda kupigwa viyoyozi tu na kuhudhuria semina, vikao, warsha zisizoisha huku wakipanda magari makubwa yenye kubwia mafutaNIDA na kitengo cha Passport wote wako chini ya wizara moja ,wizara ya mambo ya ndani
Lakini hawasomani wako ofisi moja
Very interesting
Tatizo maofisi mengi ya serikali hakuna malengo yaani targets kwenye vitengo vyakeAibu sana hii mpaka unajiuliza hawa watu maofisini huma wanaenda kupigwa viyoyozi tu na kuhudhuria semina, vikao, warsha zisizoisha huku wakipanda magari makubwa yenye kubwia mafuta
Nilivyoelewa ni ndani ya miaka miwili. Fanya makisio ndani ya miaka mingine 60+ ni paspoti ngapi zimetolewa?Mreta mada mnazidi kumchafu huyo bibi yenu kwa kumpamba pamba na taharifa zisizo chakachuliwa kwanza,Unakuja kumpongeza kisa passport laki .1.9 wakati tupo watanzania tupo mln 61+?.
Kama kila miaka 2 anaweza kufanya kazi kidogo hivyo si ataondoka madarakani ata kujenga shule yenye vyumba 7 hajamaliza?
Passport sio document ya safari weweNilivyoelewa ni ndani ya miaka miwili. Fanya makisio ndani ya miaka mingine 60+ ni paspoti ngapi zimetolewa?
Pili: natarajia, ingawa sina hakika, paspoti hutolewa kwa wanaohitaji kusafiri na hazigawiwi kama sadaka.
Tatu: nakubali kwamba kuna urasimu usio wa lazima ktk kupata paspoti.
Haya ubarikiwe chawa wa Samia.Nilivyoelewa ni ndani ya miaka miwili. Fanya makisio ndani ya miaka mingine 60+ ni paspoti ngapi zimetolewa?
Pili: natarajia, ingawa sina hakika, paspoti hutolewa kwa wanaohitaji kusafiri na hazigawiwi kama sadaka.
Tatu: nakubali kwamba kuna urasimu usio wa lazima ktk kupata paspoti.
Hakika umesema vyema hawa watu wanajipa majukumu yasiyokuwa ya kwao eti unaniuliza safari naenda kufanya nini yeye inamuhusu nini badala ya kuhakikisha watt wengi zaidi wanapata pasi wanajitwika yasiyokuwa ya kwaoPassport sio document ya safari wewe
Vigezo vya nchi zote zinazotunguka Passport hutolewa kwa kila mwenye kitambulisho cha NIDA akiitaka as long una kitambulisho cha NIDA ukitaka unapewa huulizwi mambo ya safari unaenda wapi kufanya nini hiyo sio kazi ya afisa Passport ni kazi ya ubalozi wa nchi a anakoenda kuomba visa wao ndio wamhoji kabla kumpa visa unakuja nchini kwetu kufanya nini?
Kitengo cha passport wanajibebesha majukumu yasio yao .Ya balozi waachie balozi husika
Kupata Passport sio kuwa mtu ataingia nchi ya watu atahojiwa huko ndipo wampe visa aingie kwao
Kitengo cha passport wao watoe passport kwa raia basi
Nchi nyingi zinafanya hivyo
Idara yetu ya passport roho mbaya wamejipa kazi za uofisa viza pia jukumu lisilo lao
Ukweli usemwe tu! Passport ni kitu muhimu na haki Kwa kila Mwananchi. Swala.la.kusafiri ni lake. Unaweza kuwa waTanzania Kwa kuwa wengi hawana ndogo za kusafiri nje na ndio maana Serikali na Uhamiaji wameiweka kama kitu Maalumu.Passport sio document ya safari wewe
Vigezo vya nchi zote zinazotunguka Passport hutolewa kwa kila mwenye kitambulisho cha NIDA akiitaka as long una kitambulisho cha NIDA ukitaka unapewa huulizwi mambo ya safari unaenda wapi kufanya nini hiyo sio kazi ya afisa Passport ni kazi ya ubalozi wa nchi a anakoenda kuomba visa wao ndio wamhoji kabla kumpa visa unakuja nchini kwetu kufanya nini?
Kitengo cha passport wanajibebesha majukumu yasio yao .Ya balozi waachie balozi husika
Kupata Passport sio kuwa mtu ataingia nchi ya watu atahojiwa huko ndipo wampe visa aingie kwao
Kitengo cha passport wao watoe passport kwa raia basi
Nchi nyingi zinafanya hivyo
Idara yetu ya passport roho mbaya wamejipa kazi za uofisa viza pia jukumu lisilo lao
KqbisaJamaniiii waTanzania wenzangu Mbona tumesinzia? Hiyo ni idadi ndogo Mnoo, kulinganisha na idadi yetu. Wapeni passport vijana wakapambane na dunia huko mbele.
Sawa. Jee wewe ni chawa wa Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mwinyi au Nyerere?Haya ubarikiwe chawa wa Samia.
Idara ya Uhamiaji Tanzania imetoa pasipoti za kieletroniki 193,645 katika miaka miwili ya uongozi waIdara ya Uhamiaji Tanzania imetoa pasipoti za kieletroniki 193,645 katika miaka miwili ya uongozi wa
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza jijini Dares Salaam, Ofisa Habari wa Idara hiyo, Mrakibu Paul Mselle alisema pasipoti hizo zimetolewa kwa Watanzania waliotaka kusafiri.
"Pasipoti za kielektroniki 193,645 zimeleta mageuzi makubwa, raia wa Tanzania waliohitaji kusafiri nje ya nchi walipata huduma kwa madhumuni mbalimbali,"alisema.
Mselle alisema katika pasipoti za kawaida idara hiyo ilitoa hati hizo za kusafiria 191,822 na kiutumishi 233.
Mselle alisema pasipoti za kidiplomasia zilitolewa 1,582 katika kipindi hicho na pasipoti maalumu ilitoa nane.
Alisema kazi hiyo imefanyika kwa mujibu wa Sheria ya Pasipoti na Hati za Kusafiria Sura ya 42 ya Mwaka 2002 na kanuni zake za mwaka 2018.
Pia Mselle alisema wamefanya maboresho ya sheria, kitaasisi, kimuundo na mifumo ya utendaji kazi. Aidha, aliwaomba Watanzania walioomba pasipoti kwenda ofisi za idara hiyo kuzichukua.
Mimi chawa wa Taifa la Tanzania na maendeleo.Sawa. Jee wewe ni chawa wa Magufuli, Kikwete, Mkapa, Mwinyi au Nyerere?