Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayalla na katiba mpya?star tv wana airtime ya kupoteza.Wadau tuangalie mjadala huo muda huu kuona nini kitajadiliwa na hawa jamaa.
Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuu.Mama Samia si alisema hataki mambo ya katiba mpya wala siasa bali anataka mambo ya uchumi. Vipi hawa Star Tv wameamua kumpuuza rais?
Wote wawili wanafoka balaa...Nimechungulia mbona sijamuona Pasco ? Namuona Nondo yuko anatufokea tu nikaachana nao[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimechungulia mbona sijamuona Pasco ? Namuona Nondo yuko anatufokea tu nikaachana nao[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dogo wa TLP yuko studio, anachoongea hata Shaka wa ccm hawezi kuongea! Tunamsubiri Paskali sasa, Nondo sio mbaya sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa maelezo hayo ya Pasco, unaweza kuhoji akili fupi fupi ya Pasco zina msaada gani?Paskali anasema cdm watekeleze kwanza katiba yao, kisha wadai ya nchi. Anasema watu hawakudai katiba wakati wa Magufuli, hivyo wakidai sasa ni kumuonea mama Samia.