Paskali Mayalla, Abdul Nondo live star Tv wakijadili Katiba Mpya

Paskali Mayalla, Abdul Nondo live star Tv wakijadili Katiba Mpya

Kuna dogo wa TLP yuko studio, anachoongea hata Shaka wa ccm hawezi kuongea! Tunamsubiri Paskali sasa, Nondo sio mbaya sana.
Huyo dogo wa TLP aliwahi kuwa rais wa serikali ya wanafunzi ST. JOSEPH ya DSM. Dogo huyoo bado sana kuitwa mwanasiasa wa kariba ile ya bavicha ya enzi zile. Dogo hana data nae anafokaaa tuu. Namjua vizuri
 
Huyo dogo wa TLP aliwahi kuwa rais wa serikali ya wanafunzi ST. JOSEPH ya DSM. Dogo huyoo bado sana kuitwa mwanasiasa wa kariba ile ya bavicha ya enzi zile. Dogo hana data nae anafokaaa tuu. Namjua vizuri

Nahisi huyu dogo ni wa ccm kisha amepandikizwa huko TLP ili kulinda mfumo ccm.
 
Tunataka katiba mpya ili tumpunguze nguvu ccm,unataka kusema hilo haliwezekani hata tukipata katiba mpya?
Na wewe kwa akili zako uunaamini CCM wataawapa Katiba mpya ili mpate nguvu!?
Tafuteni nguvu ya kutengeneza Katiba NZURI Kwanza sio mfikirie Katiba nzuri iwape nyinyi nguvu Kwanza. Nchi zote walizofanya mabdiliko walipata nguvu au kushinda uchaguzi kwanza.... ndipo wakaunda Katiba nzuri
Kenya walipata nguvu Kwanza ndio wakatengeneza Katiba.
Katiba nzuri haitengenezwi wakati una Mbunge 1 mwenzio ana 260. Labda tuondoe nafasi ya BUNGE ktk kutunga Katiba... kitu ambacho hufanyika kwenye Nchi ambazo hazina Serikali Wala BUNGE la kitaifa, au Kama kumetokea Mapinduzi, Serikali imetolewa madarakani imewekwa ya mpito.
Kwa Sasa BUNGE ndio mwakilishi namba 1 wa mwananchi kikatiba na huwezi kuzuia mamlaka yake ktk kutunga Katiba.
Wakati mwingine huwa nawaza akili za viongozi wetu najiuliza Wanafanya makusudi au kweli hawajui hizi facts. Mwaka ule walikimbia, WAKASUSA BUNGE mwaka huu naona wataenda msituni kabisa... and this is the last resort if at all they must get what they want... vinginevyo wakubali Katiba itatayoletwa na wale wenye Wabunge 260 na Rais anayetawala
 
Ndivyo unavyojidanga sijui kwa nini mnajitoa ufaham hivyo uhuru utakuwa unatoka wapi tofauti na sasa
Kenya kabla ya katiba mpya mahakama zao zilikua kama za kwetu; leo jaji mkuu na mahakama zao zimepewa uhuru. Achana na upumbavu ndugu, iwapo upo kwenye wajinga wasiyoona umuhimu wa katiba mpya na bora basi utakua miongoni mwa wale wajinga wanaodhani katiba mpya ni kwa ajili ya CHADEMA.

Acheni upumbavu
 
Na wewe kwa akili zako uunaamini CCM wataawapa Katiba mpya ili mpate nguvu!?
Tafuteni nguvu ya kutengeneza Katiba NZURI Kwanza sio mfikirie Katiba nzuri iwape nyinyi nguvu Kwanza. Nchi zote walizofanya mabdiliko walipata nguvu au kushinda uchaguzi kwanza.... ndipo wakaunda Katiba nzuri
Kenya walipata nguvu Kwanza ndio wakatengeneza Katiba.
Katiba nzuri haitengenezwi wakati una Mbunge 1 mwenzio ana 260. Labda tuondoe nafasi ya BUNGE ktk kutunga Katiba... kitu ambacho hufanyika kwenye Nchi ambazo hazina Serikali Wala BUNGE la kitaifa, au Kama kumetokea Mapinduzi, Serikali imetolewa madarakani imewekwa ya mpito.
Kwa Sasa BUNGE ndio mwakilishi namba 1 wa mwananchi kikatiba na huwezi kuzuia mamlaka yake ktk kutunga Katiba.
Wakati mwingine huwa nawaza akili za viongozi wetu najiuliza Wanafanya makusudi au kweli hawajui hizi facts. Mwaka ule walikimbia, WAKASUSA BUNGE mwaka huu naona wataenda msituni kabisa... and this is the last resort if at all they must get what they want... vinginevyo wakubali Katiba itatayoletwa na wale wenye Wabunge 260 na Rais anayetawala
Nguvu ya kutengeneza Katiba ninayoizungumzia hapa Ni kuwa na angalau 35% ya Wabunge ktk BUNGE tulilonalo ili kuzuia 66% majority inayohitajika kupitisha vipengele vya Katiba. Nguvu hii itawafanya muheshimiane na msiburuzane kwenye mijadala na kupiga kura. Na hakuna litakalopitishwa bila maridhiano. Kinyume chake Ni maumivu tupu.
 
Nimemsikiliza Pasco Mayalla, mengi anayoongea kuhusu Katiba ni upuuzi mtupu, yuko kujipendekeza kwa mama Samia ili apate chochote...

Yaani Pasco yuko busy kuikosoa Chadema, Chadema, Chadema....
Yaani utadhani mjadala unahusu Chadema wakati hakuna muwakilishi rasmi wa Chadema hapo studio kujibu hoja.

Nimemdharau sana Pasco Mayalla.
Ni mtu wa ovyo ovyo sana.
Ni upumbavu kudhani mawazo yako ndiyo yako sahihi na siyo ya mwingine. Unatakaje kile unacho fikiri wewe ndiyo azungumze huyo Paschal?

Kenya walishabadiri katiba na sasa wanatamani tena ibadirike,kuna Rais alisha ingizwa mamlakani kwa maandamano na wakaja kumtoa kwa maandamano

Nasema hivi kwa sababu pendekezo lako kwenye katiba wewe uliye Arusha halitakua pendekezo la mtu yuko Kigoma,mawazo kuna siku yatakinzana tu na tutakua tumesha tunga hiyo katiba ambayo ni sheria,waTanzania wengi mna ujinga mwingi wa kufuata maneno tu ya wanasiasa wasaka tonge ili warahisishe kwenda Ikulu yamkini kwa maandamano ya wananchi kumng'oa Rais mamlakani kwa sababu katiba itakua inataka hivyo,ndiyo matamanio yao,wakienda mamlakani wao siyo Malaika,wanamakosa pia watayapata na wao watang'olewa,wafuasi wale wa kwanza na wao kwao wataanza kupigana hovyo na nchi kuchafuka

Hao wanao wahubiri katiba katiba,mala sijui nguvu ya Umma...huko kwao hakuna nguvu ya Umma ni usanii tu

Kila nchi ina desturi yake ambayo sisi tunaikataa desturi yetu na kuiga vya watu kama tulivyo iga dini tulizo nazo sasa hivi.
 
Nimemsikiliza Pasco Mayalla, mengi anayoongea kuhusu Katiba ni upuuzi mtupu, yuko kujipendekeza kwa mama Samia ili apate chochote...

Yaani Pasco yuko busy kuikosoa Chadema, Chadema, Chadema....
Yaani utadhani mjadala unahusu Chadema wakati hakuna muwakilishi rasmi wa Chadema hapo studio kujibu hoja.

Nimemdharau sana Pasco Mayalla.
Ni mtu wa ovyo ovyo sana.
Pasko ameshajizeekea anatafuta PA kuponea, nimeshangaa Sana anaongelea Chadema kuliko mjadala halisi.Muongoza kipindi angemuonya aende kwenye topic.
 
Back
Top Bottom