hata mimi..
Tutatuma timu ya ukaguzi ili kujihakikishia kama Ruttashobolwa hajachakachuliwa
???.......... Una maana Fixed Point kakuacha na hamu?
hongera aisee tatizo ulikua unanifichaficha kuwa Passion Lady ni shemeji
ha haaaa, pole, mkoloni kakamatamambo gani sasa haya dk sifuri umelog out bana!!
ha haaaa, pole, mkoloni kakamata
hongera sana PL kwa kichanga.
Mungu akukuzie mumie.............
Hongeraa jamani natamani na mie kababy kakiume
Nachukua fursa hii adhimu kuwajulisha kuwa yule kipenzi cha wengi Passion Lady amejaaliwa kumleta mwanaume wa shoka duniani. Niwapongeze wadada na wamama wote kwa niaba yake. Pia wakaka na wababa wote kwa kazi ngumu ya kibaiolojia.
HONGERA SANA!
jamani hongera Passion Lady.................
nilikuwa nasema wangu hajazaliwa bado naona tayari sasa
ati??????
mi nakusubiri bhana
Unakuja au?