Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Baada ya kusambaa kwa picha ya Mchezaji huyu wa Kimataifa kutoka Congo akiiaga Tanzania, Uongozi wa Simba umetolea maelezo kuwa mchezaji wao Baleke kaelekea Congo kushughulikia Passport yake ambayo imejaa.
Mashabiki wa Simba tulieni agizeni vinywaji kunyweni kwa kutulia mchezaji wenu bado yupo mtaani kwenu Msimbazi.
Mashabiki wa Simba tulieni agizeni vinywaji kunyweni kwa kutulia mchezaji wenu bado yupo mtaani kwenu Msimbazi.