Password ya mume mkora/mkware

Password ya mume mkora/mkware

Jamani jamvini,

Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!

Asanteni kwa mawazo!

ukweli ni kuwa kama kweli anatoka nje basi ujue humtoshelezi, tafuta njia za kumtosheleza.
 
Hapo hapo taratibu shostito ..............akina The Finest, Fidel watakusaidia kupafafanua hapo .....otherwise jihami.

Hata wewe kwa uzoefu wako wa majambo unaweza kabisa kumsaidia afanye lipi/yepi ili mwandani wake atulie kunyumba.
 
Only tigo will keep your husband away from vicheche:A S-confused1: ndunguli is not sufficient enough :behindsofa: are u still there?

The King...............wa kutoka ni wakutoka tu hata umfungie nini.....si wanasema sikio la kufa halisikii dawa na adili haachi asili??
Akifanya unavyomshauri itabidi atafute shangingi la kumkeep up to date in terms of trainings juu ya mapenzi maana kama ni line ya tigo hata akimpatia itabidi ajifunze na aina za customer services zinazotolewa maana kila kukicha zinaintrodusiwa mpya......wahudumu wa kampuni hii (vicheche) ni wabunifu wa hali ya juu ati linapokuja swala la kuwaridhisha wateja wao. Maana siku hizi wengine wanatoa ile inayoitwa Perfumed Package - PP) ambapo kile mteja anatakiwa kudial number na kupewa huduma hiyo ikiwa imeambatanishwa na perfumes especially zile za kiarabu kama udi, sijui alhood--wifi naye itabidi ajifunze---- wengine wanatoa huduma ya Warm Atmosphere Package - WAP ambapo mteja anapatiwa huduma yenye vuguvugu kumpatia lile joto alipendalo--- bi shosti naye itabidi aupdate skills zake ili aweze kucompete kwenye hii mobile lines market, wengine wanatoa huduma ya Squeze and Release Package -SRP line inabanwa na kuachia, bana, achia kama inavyofanyikaga katika lile huduma ya Shinda Mkoko ya vodacom.......... sasa dada naye ajifunze ......ah kila siku vicheche wanagundua juzi mpya sasa ........dada kazi itakuwa ni kujifunza tu....mwisho wa siku bado inakula kwake anabaki analia wakati Barrick Gold Company weshamaliza hazina ya Gold kule Geita wamemwachia mahandaki tu-------- environmental destruction.

Astick tu kwenye kuboresha line yake ya Voda (Only kama ndio kinachomkimbiza prezidaa) (Kegel excercises), awe mbunifu na kuwa makini otherwise atapata presha, shell, BP mpaka Big Bon.

(naona hii wiki hii akili zangu zimechakachuliwa hizi emotional threads jamani zipunguzeni wengine tutapewa BAN za milele sasa.................)
 
Aende kwa Dr Ntambanamungu anayo dawa ya kumfungashia hiyo kitu ya mumewe akae nayo yeye, wakati akitaka kuitumia anaifix tu pale kama unavyoweka balbu kwenye holder anaendelea. Lakini ole wake bibi akifa itabidi bwana abaki asexual!
 
Tatizo kubwa ni wadada wengi hufikiri kuwa wakishaolewa tu kazi imeisha,kumbe wanajidanganya maana hapo kazi huwa ndio imeanza mtu ukishajulikana umeoa ndio wanakuona kumbe uko serious na mitego utakayopewa, kuishinda yahitaji uwezo wa roho mtakatifu.Na ukishaanguka kwenye mtego mmoja tu basi kutoka ni kazi kubwa maana hawa wahudumu wa pembeni wanajua hasa kutoa huduma,na wanahakikisha wanakupa kile ambacho mke wako hawezi kukupatia na kila siku ni wabunifu wa hali ya juu katika kunogesha uhusiano wao haramu.Kuondokana na hilo ni vyema wadada wakabadilika na kuwa karibu zaidi na wenzi wao ili kujua wanahitaji nini katika mahusiano na sio kuwa serious tangu jua linakucha mpaka jua linazama ukiringa kuwa si kanioa.Wengine hufikia mpaka kuwaambia wenzi wao we mshenzi si mimi nakusemesha mbona hunijibu sasa kwa hali hiyo siku akikupatia msaidizi utamlaumu nani?
 
The King...............wa kutoka ni wakutoka tu hata umfungie nini.....si wanasema sikio la kufa halisikii dawa na adili haachi asili??
Akifanya unavyomshauri itabidi atafute shangingi la kumkeep up to date in terms of trainings juu ya mapenzi maana kama ni line ya tigo hata akimpatia itabidi ajifunze na aina za customer services zinazotolewa maana kila kukicha zinaintrodusiwa mpya......wahudumu wa kampuni hii (vicheche) ni wabunifu wa hali ya juu ati linapokuja swala la kuwaridhisha wateja wao. Maana siku hizi wengine wanatoa ile inayoitwa Perfumed Package - PP) ambapo kile mteja anatakiwa kudial number na kupewa huduma hiyo ikiwa imeambatanishwa na perfumes especially zile za kiarabu kama udi, sijui alhood--wifi naye itabidi ajifunze---- wengine wanatoa huduma ya Warm Atmosphere Package - WAP ambapo mteja anapatiwa huduma yenye vuguvugu kumpatia lile joto alipendalo--- bi shosti naye itabidi aupdate skills zake ili aweze kucompete kwenye hii mobile lines market, wengine wanatoa huduma ya Squeze and Release Package -SRP line inabanwa na kuachia, bana, achia kama inavyofanyikaga katika lile huduma ya Shinda Mkoko ya vodacom.......... sasa dada naye ajifunze ......ah kila siku vicheche wanagundua juzi mpya sasa ........dada kazi itakuwa ni kujifunza tu....mwisho wa siku bado inakula kwake anabaki analia wakati Barrick Gold Company weshamaliza hazina ya Gold kule Geita wamemwachia mahandaki tu-------- environmental destruction.

Astick tu kwenye kuboresha line yake ya Voda (Only kama ndio kinachomkimbiza prezidaa) (Kegel excercises), awe mbunifu na kuwa makini otherwise atapata presha, shell, BP mpaka Big Bon.

(naona hii wiki hii akili zangu zimechakachuliwa hizi emotional threads jamani zipunguzeni wengine tutapewa BAN za milele sasa.................)

hapa sijasoma/elewa kitu
 
hapa sijasoma/elewa kitu
Pole Shemeji yangu ndo ntafanyeje tena maana nimewekwa jukwaani so inabidi nifunike kombe ati.

For more elaboration see me at.... consultation fees ni kidogo tu.:bowl:
 
naona watu imewakuuuuna,alivyoeleza hata ampe nini,sikiliza bi dada,mapenzi ya madawa ili umfunge bwana si mapenzi,madawa yasije yakakugeukia mwenyewe bure
 
achana na iyo biashara usije ukanunua mapepo barabarani yatakuendesha mpaka utajuta au unahitajia kuendeshwa na mambo yasiyooneka mapenzi ni sanaa kwanza kabissa jaribu kumuelewa mwenzako itakupa wakati mzuri kucheza karata zake hata aweje lazima miguu yake itaweka break kwako lakini usisahau si unajua wengine lazima wachungulie chungulie huko ndo furaha yao
 
Aende kwa Dr Ntambanamungu anayo dawa ya kumfungashia hiyo kitu ya mumewe akae nayo yeye, wakati akitaka kuitumia anaifix tu pale kama unavyoweka balbu kwenye holder anaendelea. Lakini ole wake bibi akifa itabidi bwana abaki asexual!


Hapo ndo naogopa, maana kama atabak hivyo , lazima ile mijibaba ya pwani itamuoa, halafu wanangu watateseka.
Humjui mganga mwingine?
 
Tatizo kubwa ni wadada wengi hufikiri kuwa wakishaolewa tu kazi imeisha,kumbe wanajidanganya maana hapo kazi huwa ndio imeanza mtu ukishajulikana umeoa ndio wanakuona kumbe uko serious na mitego utakayopewa, kuishinda yahitaji uwezo wa roho mtakatifu.Na ukishaanguka kwenye mtego mmoja tu basi kutoka ni kazi kubwa maana hawa wahudumu wa pembeni wanajua hasa kutoa huduma,na wanahakikisha wanakupa kile ambacho mke wako hawezi kukupatia na kila siku ni wabunifu wa hali ya juu katika kunogesha uhusiano wao haramu.Kuondokana na hilo ni vyema wadada wakabadilika na kuwa karibu zaidi na wenzi wao ili kujua wanahitaji nini katika mahusiano na sio kuwa serious tangu jua linakucha mpaka jua linazama ukiringa kuwa si kanioa.Wengine hufikia mpaka kuwaambia wenzi wao we mshenzi si mimi nakusemesha mbona hunijibu sasa kwa hali hiyo siku akikupatia msaidizi utamlaumu nani?[/B]


Jamani, mbona yeye akinikosea simlipizii kwa kutoka nje ya ndoa? Hiyo si sababu Mh!
 
hizi ndoa zinatupa wazimu sasa coz mtu unafikiria mpaka ammbo ya kishirikina, nachukia sana hii imani, angalia sana ucje mu overdose mkakosa wote.
 
Jamani jamvini,

Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!

Asanteni kwa mawazo!

Kimbweka
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
user-online.png
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateThu Jul 2009Posts1,896Thanks75Thanked 315 Times in 216 PostsRep Power25
icon1.gif
Ni kipi hasaaaaaa?


Kimfanyacho mwanamke kwenda kwa waganga wa kienyeji? Unakuta umekaa naye kwa muda mrefu tuu tena wachamungu ghafla anabadilika na kuanza kufanya masharti anayopewa na mganga wa kienyeji! Wakati penzi lenu zuri tu, ukimuuliza imekuaje ? hakupi jibu la msingi au ndo kichaa kimemuanza! Shetani Shindwaaaaaaaaaaaaaaa....................

 
Tatizo kubwa ni wadada wengi hufikiri kuwa wakishaolewa tu kazi imeisha,kumbe wanajidanganya maana hapo kazi huwa ndio imeanza mtu ukishajulikana umeoa ndio wanakuona kumbe uko serious na mitego utakayopewa, kuishinda yahitaji uwezo wa roho mtakatifu.Na ukishaanguka kwenye mtego mmoja tu basi kutoka ni kazi kubwa maana hawa wahudumu wa pembeni wanajua hasa kutoa huduma,na wanahakikisha wanakupa kile ambacho mke wako hawezi kukupatia na kila siku ni wabunifu wa hali ya juu katika kunogesha uhusiano wao haramu.Kuondokana na hilo ni vyema wadada wakabadilika na kuwa karibu zaidi na wenzi wao ili kujua wanahitaji nini katika mahusiano na sio kuwa serious tangu jua linakucha mpaka jua linazama ukiringa kuwa si kanioa.Wengine hufikia mpaka kuwaambia wenzi wao we mshenzi si mimi nakusemesha mbona hunijibu sasa kwa hali hiyo siku akikupatia msaidizi utamlaumu nani?

Paka ni kweli usemsyo, baadhi wakishaolewa wanadhani basi wamemaliza, ukweli ni kwamba kama ni race basi ndio kwanza zimeanza hilo ni lazima waelewe
 
Pale mtaani kwetu (mtaa wa mkanyageni) kulikuwa kuna mganga mmoja alikuwa anawapata kina dada kama wewe maana yeye anakwambia tu dawa ipo ila itabidi aisokomeze kutumia mshariba wake halafu ikishafika huko ndai jamaa yako akija akitia tu basi akichomoa haidisi kwa mdada mwingine. Na waliokuwa wanataka watoto nao walikuwa wanakuja pia ................. kama unamuhitaji nitafute :glasses-nerdy:
 
Nyumbu mapenzi hayana dawa kabsaa!!, chunguza kuna kitu unakosea rekebesha. mambo ya madawa ni hatari sana. Sikiliza kuna jamaa kule sumbawanga Nkasi, alikuwa anatembea na mtoto wa shule, bahati mbaya akapata mimba, kesi ikatinga mahakamani, jamaa akaenda kwa sangoma amsaidie kuficha kile kitendea kazi chake ili mahakamani akaonyeshe kwamba yeye hana kitu, kweli kikafichwa kufika mahakanai akadai binti kamsingizia mbona mimi sina kitu naomba mheshimiwa hakimu nikague, basi wazee wakaenda naye chemba kuangalia kweli maajabu haipo, basi kesi akashinda. Jamaa akarudi kwa sangoma wake amrudishie kifaa chake ni kama kilometa tano sita hivi, kufika kule anaambiwa sangoma mbona alifariki tulisha mzika jana, jama alianguka na kuzirai, kuamka na kupata fahamu anaulizwa kulikonii tukusaidie akabaki kusema 'kwani hakuacha maagizo jamaniii', anaambiwa sema shida ni nini tukusaidieee, baada ya kuwaeleza wakamwambia kweli hatuwezi kurudisha hiyo ndude ujuzi huo alikua nao marehemu bingwa, jamaa hadi sasa anahaha na kama kichaa fulani hivi.

Ogopa Nyumbu haya mambo ni hatari utakosa vyoote!!
 
Jamani jamvini,

Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!

Asanteni kwa mawazo![/QUO
ukianza kuamini hayo unapotea kabisa wewe mpe tu mapenzi ya nguvu mbona atasahau hivyo vyangu vyake.nyonya nyonya mama!acha uvivu lakini usitoe ile kitu ukitaka shindana na mabudege ya huu mji,maana na nyie kwenye ndoa nanyi mnapenda ushindani.huyo ni wako tu na ataendelea kuwa wako.mpagawishe na malovee tu
 
Back
Top Bottom