Inaonekana alipatwa na tatizo la kupumua lakini alijitibu vizuri tu changamoto ikawa kisukari kinapanda nadhani ili gonga 27.
Sasa akiwa anajifukiza tu na Kula malimao kumbe hku sukari inammaliza tu yye akijua ni ''pneumonia'' ndio inamsumbua.
Anyway nadhani ilikua siku yake Mungu amepanga. May his soul rest in eternal peace