TANZIA Pastor Abel Ogernes afariki dunia


Inasikitisha Sana kwa kweli.
 
Mie sukari imewahi kupanda hadi 32.3 yaani ilikuwa bado point saba mashine ishindwe kusoma lakini hapa nakuambia nimepona kabisaa na sina hiyo sukari
 
Mie sukari imewahi kupanda hadi 32.3 yaani ilikuwa bado point saba mashine ishindwe kusoma lakini hapa nakuambia nimepona kabisaa na sina hiyo sukari
Aiseee! uliwezaje kupona hilo tatizo? Au ni muujiza tu ulikupata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…