Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hataree na nusu,.Kadudu haka kamezidi, juzi tumetoka kuzika mtoto( Ni dada graduate alikuwa anahangaika apate ajira) Leo mama kavuta
Tatizo ni kwamba cello za ICC ni kama 3 star hotel, angepata changamoto na akae nayo kwa machine kwa mwaka mzima, ajisaide hapo hapoMimi ninaomba abaki salama akajibu mashtaka ICC. Ninaomba Mungu amlinde katika hili.
Kuna mutu natamani afikwe na changamoto ya upumuaji
Naona unataka kugeuza changamoto kuwa fursa, sawa bahaliaNiko Soko Matola, Mtaa wa Wageni, kwenye maghorofa ya NHC yanatazamana na Kiwanja Ngoma. Wee uko sehemu gani nikufuate fastaaaaa?
Mbafu kabisa wwTusiogope Watanzania wanaozaliwa ni wengi mno, kufuatia maboresho huduma za afya ,chanjo, elimu bure ,hamasa kuzaliana.... Shida ni kupoteza wapambanaji, japo kwa wazee above 80...( Life span 60...yrs) wapumzike kwa amani , kunapunguza garama kuwatunza nk.
Mbunge wenu ni nani?Huko Mbeya ndio kuna cases kibao, wananchi lakini hawajali, wanaona poa tu
Endelea kufanya maombi na kumrudia Mungu wako,yawezekana baada ya masaaa machache yajayo ikawa ni wewe...Leo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale amana vijana centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu View attachment 1693077
Supu ya Mbeya Peak kwa Chadema is the best in Uhindini.Lusajo Mwakoba anakaa Jacaranda, kasoma Azimio, kisha sekondari Meta. Ndiye anaendesha Mbeya Peak kwa sasa
Watu kama hao huwa wanapata ulinzi mkali sana kutoka kwa Baba yao Shetani. Na hivyo kujikuta wanaishi maisha marefu sana hapa duniani.Kuna mutu natamani afikwe na changamoto ya upumuaji
Lusajo Mwakoba anakaa Jacaranda, kasoma Azimio, kisha sekondari Meta. Ndiye anaendesha Mbeya Peak kwa sasa
Utakuwa unakaa Mabatini,Simike ama Sokomatola manake una tabia za kiswazi kweli wwe!Mi nipo Mbeya. Mbeya ipi unaongelea? We kaka buji mzushi sana weeee kama Matola
Leo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale Amana Vijana Centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.
View attachment 1693077
Aiseeee nmefungua huu uzi moyo umeshtuka paaaap. This is so bad kwa kweli.Leo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale Amana Vijana Centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.
View attachment 1693077
wht kweli hiiKadudu haka kamezidi, juzi tumetoka kuzika mtoto( Ni dada graduate alikuwa anahangaika apate ajira) Leo mama kavuta
Mzee tafuta hela unaytaka kuridhiTusiogope Watanzania wanaozaliwa ni wengi mno, kufuatia maboresho huduma za afya ,chanjo, elimu bure ,hamasa kuzaliana.... Shida ni kupoteza wapambanaji, japo kwa wazee above 80...( Life span 60...yrs) wapumzike kwa amani , kunapunguza garama kuwatunza nk.
R.I.P Pastor Abel OgernesLeo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale Amana Vijana Centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.
View attachment 1693077
Kwani zamani watu walikuwa hawafi?kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.