Pastor Chris wa Nigeria asema "Magufuli is a wise president" kwa kugundua udhaifu wa vipimo vya Corona

Pastor Chris wa Nigeria asema "Magufuli is a wise president" kwa kugundua udhaifu wa vipimo vya Corona

Mganga wa jadi professor MajiMafupi asema Juma Pondamali Mensah ni chaguo la mizimu aendelee kutawala milele na milele Amina.
 
Wakenya wamegeuzwa biashara na WHO. Uhuru anapewa chake na shirika la kibeberu, anapima watu na vifaa vilivyojazwa virus feki.

Matokeo yake kila mtu ni corona positive.

Corona is a scam in the first place. Hakuna kitu kama corona. Ni upumbafu na ujinga mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasitutishe corona ni propaganda tu. Mara ghafla naingia zangu mafichoni chattle na natoa agizo abiria kwenye vyombo vya usafiri wawe level sit na lazima watu wavae barakoa. Na kama haitoshi naagiza mjifukize. Za kuambiwa changanya na zako.
 
Madaktari wenu wanasoma yaliyoandikwa na mzungu, wanapima yaliyoandikwa na mzungu, na wanatumia vifaa viliyotengenezwa na mzungu kupima yale ambayo mzungu ameyaita ni "magonjwa".

If they can temper with the kits, hata wakipima mchanga unaweza ukaonekana ni fungus. Na madaktari wenu wakaambiwa kwamba mchanga ni fungus, nao wakaamini kwasababu vipimo vya mzungu vimesema mchanga ni fungus.

Wanatengeneza illusions za vijidudu feki. Ukizipima antibodies, wanakwambia umepima kirusi cha Ukimwi. Meza dawa.

Waambie wakupe hicho kirusi cha ukimwi kama kipo! Hakipo, kwasababu wanatengeneza vifaa vinavyoweza kupima antibodies na zikaonekana ni kirusi.

Waulize hao madaktari wenu uchwara, hivyo vifaa vya kupima virusi wamevitoa wapi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hudhani kuwa wana akili kuliko Rais Magufuli, ila Magufuli ana akili nyingi kuliko vilaza wengi Tanzania!

Magufuli ali challenge ufanisi wa vipimo vya Covid-19, lakini vilaza wengi wakaibuka kumkosoa Kama vile alikuwa ame draw conclusion kwenye issue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anaficha aibu ya maelfu ya watu walioambukizwa Corona kwa uzembe wake.

Kama yupo smart mbona kajificha Chato ila wenzie anatuambia chapeni kazi. Huyo ni muuaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli mbona hana shaka na vipimo bali madaktari
 
Mkuu kuna siku nitaandika kuhusu mtazamo wako juu ya watumishi wa Mungu.. kuna mahali hauko sahihi na inahitaji ufunuo kuweza kugundua.. nimesoma sana maandishi yako na mpaka leo sijajua huwa unapata wapi ujasiri wa kuhukumu watumishi.
Jamaa hawaamini kabisa, nahisi nikikwazo katika kazi zake.
 
Magufuli anaficha aibu ya maelfu ya watu walioambukizwa Corona kwa uzembe wake.

Kama yupo smart mbona kajificha Chato ila wenzie anatuambia chapeni kazi. Huyo ni muuaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
nawewe unachapa kazi kwa sababu anakuona au sababu inakulipa mshahara.

lala nyumbani come on,mnatumia akili za nyuma ama!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ndogo hawawezi kukuelewa... Watachukulia tafsiri ya moja kwa moja... Lakini hii ni ile kwa kiswahili tunaita wazee wa busara

Jr
emoji769.png
I second you 100%,sio wote wenye corona wana corona halisi, kuna mtu alinitxt anaota kivuli cha virus vya corona kinakimbiza wa watoto, akaanza kukemea ktk ndoto, so kuna magonjwa mengine adui anaweza jipenyeza humo humo ili aondoe watu.
Duh! una umri gani unawaza kitoto ivyo?
Akili za bavichwa hizo horror comment ever

Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃bangi mbaya sana
Wise man hata dictionary ya kawaida umeshindwa angalia mpaka upotoshe ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Fazili acha mawazo ya kipumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watoto hii dunia hamuijui kabisa na mimi wala sishangai kwasababu najua kwanini hamuijui dunia hii kwani ina wenyewe. Asante Mshana Jr kwa kujitahidi kuwatoa hawa kwenye giza. Mtaelewa taratibu nini kinachoendelea, hata hapa Tz usipojua kuusoma upande wa pili wa shilingi basi unabaki kuwa kondoo wa mtu mwingine.
 
Hongera kwake akimaliza aelezee na chanzo cha vifo vingi wakati huu na uhalali wa maamuzi wa 'marehemu atazikwa na serikali' pamoja na ule wa kuzika watu usiku wa manane na idadi ndogo ya ndugu……………..
 
Back
Top Bottom