Pastor commits suicide in US after wife marries new man

His OS still works perfeclty no need for upgarde.

Halafu new versions nyingine za Oparating System zinakuaga na complictions kibao bora uliyoizoea na tena kama hivyo unasema bado inafanya kazi excellently, you better stick to it
 
Mimi huwa naamini siku zote kwamba Afrika hatu fall in love na watu ambao tunaamua kufunga nao ndoa, bali ni maslahi binafsi tu!
 
ni kanzu na koti siyo jacket
 
Ndio kupenda huko Mtani. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijawahi na sitarajii kupenda kisenge kiasi hicho but tuko tofauti maana kuna watu wanapigana kisa ushabiki wa michezo na siasa ko watu wa dizaini hii lazima wajiue
 
Mbona tunao jinyonga ni wanaume tuu.
Endeleen kupenda mtaisoma namba.mm kijana wangu akikua lazima nimueleze kuchukulia poa k na akiona inafaa aoe mwanamk zaidi ya mmja na ajue kuwa aishi na mwanamk mguu pande
 
Ni kukosa akili na maarifa maana bible wanasoma yaliyomkuta Adam lakn mtu anadiriki kumuamini mwanamke na ngonjera zao za kuigiza kupenda ili waonewe huruma huu ni ujinga xjawah kuwa hivyo hata mke wangu anajua na nilisema ukiona simtoshi ajiongeze kelele sitaki
 
Ni kukosa akili na maarifa maana bible wanasoma yaliyomkuta Adam lakn mtu anadiriki kumuamini mwanamke na ngonjera zao za kuigiza kupenda ili waonewe huruma huu ni ujinga xjawah kuwa hivyo hata mke wangu anajua na nilisema ukiona simtoshi ajiongeze kelele sitaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…