Pastor Tony: Kwenda mbinguni sio kipaumbele cha mkristo, Pesa ndio kipaumbele

Pastor Tony: Kwenda mbinguni sio kipaumbele cha mkristo, Pesa ndio kipaumbele

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.

Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?
 
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.
Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?

Ukitaka kuwa tajiri tumia dini kijanja, waulize Gwagima na Mwamposa
 
Kuna pastari mmoja hivi karibuni yeye alidharau magari ya wenzake na kutamba gari yake ndiyo ya kifahari na ghali kuliko magari ya wenzake waliokuja nayo kwenye mkutano wao. Siku hizi mapastari wanashindana kwa magari na majumba si kwa utakatifu tena
 
Kuna pastari mmoja hivi karibuni yeye alidharau magari ya wenzake na kutamba gari yake ndiyo ya kifahari na ghali kuliko magari ya wenzake waliokuja nayo kwenye mkutano wao. Siku hizi mapastari wanashindana kwa magari na majumba si kwa utakatifu tena
Wachungaji wa vijijini na wasio nacho wanapitia wakati mgumu sana kwenye haya mashindano. Wengine nimeona wanshindana suti.

Ndio maana wizi wa fedha za makanisani umezidi. Maana wengi wanalazimisha kuonekana wanauchumi mkubwa.
 
Kama mapastari wetu wanashindana kwa ufahari, fedha, mali na elimu sisi waumini wao tusio na elimu wala mali tuwaonaje? Au sisi waumini ni wadhambi?
Biblia imesema tutafute kwqnza ufalme wa Mungu na hayo mengine tutazidishiwa. Pesa tunatakiwa kuzidishiwa huku tunatafuta ufalme wa Mungu sio kipaumbele. Wanatupeleka kasi sana hawa watumishi wa Bwana.
 
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.
Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?


Alisema mwenye mbingu yake hivi"Je atakapokuja mwana wa adam ataikuta imani". Tony asamehewe tu kaingia 18 za ibilisi kabisa. Tafuteni kwanza ufalme na mengine yote mtazidishiwa. Kazi ni lazima tufanye lakini kipaumbele ni mbingu ya mzee wa siku. Neno la mzee wa siku halijasema tafuta hela kwanza ndo uingie mbinguni. Ata majambazi pesa wanazo. TONY Mungu akusaidie. Lakini pia tunaanza kukujua wewe upoje.
 
Mbn mnaanza kutujadili mapema hivi jaman mnataka ng'ombe wetu washtuke ili nani anunue udongo,chumvi, maji n,k. af tuvae nn,tuendeshe nini acheni fitina bhn tafteni tu na nyie namna bhn unazani umaskin mtamu.. HALELLUJAH
 
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.
Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?

Kila siku hali inazidi kuwa mbaya afadhali ya jana kuliko leo.Ila sijajua kinachonyima wahusika kupima ubongo wa hawa watu.Yaani viwanda vya mdomo vimeharibu maisha ya watu wengi sana,kila mtaa sasa hivi kama ni mjini kuna kiwanda cha maneno
 
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.
Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?

Si makanisa siku hizi ni mikutano ya kuhubiri michongo ya pesa.
Ukristo ni kama umeisha ila wamebaki watu ambao wanatumua jina ukristo kutimiza agenda na malengo yao.
 
Hama wachungaji vijana wamekuja na mafundisho yao huku wakiponda mafundisho ya wachungaji wa zamani. Sasa hata wachungaji wazee nao wametekwa na wachungaji vijana. Wazee wameacha kufundisha injili waliyofundisha mwanzo, wanafundisha injili iliyopoa. Wenye hela ndio huonekana ni wasafi na hutukuzwa na kupewa vyeo vya mbeleni. Muumini kama huna hela utaonekana ni mtenda dhambi, utatengwa na hata kufukuzwa kuwa unafanya uzinzi na una mambo ya kipagani
 
Alisema mwenye mbingu yake hivi"Je atakapokuja mwana wa adam ataikuta imani". Tony asamehewe tu kaingia 18 za ibilisi kabisa. Tafuteni kwanza ufalme na mengine yote mtazidishiwa. Kazi ni lazima tufanye lakini kipaumbele ni mbingu ya mzee wa siku. Neno la mzee wa siku halijasema tafuta hela kwanza ndo uingie mbinguni. Ata majambazi pesa wanazo. TONY Mungu akusaidie. Lakini pia tunaanza kukujua wewe upoje.
Wakati huu wachungaji wanamiliki magari hadibya 400M au private jet ndio kipindi qmbacho kiwango cha uovu kiko juu kuliko kipindi wachungaji wanahamasisha ufalme wa Mungu ili mengine tuzidishiwe ikiwemo pesa.

Hapo kuna shida mahala. Pesa ni kitu kidogo sana kama zinamilikiwa hadi na magaidi kumilikiwa na watakatifu ni ishu ndogo sana.

Kuna shida kubwa
 
Naunga mkono hoja....

Duniani ni PESAAAA .... hii ni dunia sio PARADISO jamanii, lazima tuelewe, lazima tutafautishe kati ya DUNIA na PARADISO.....

Dunia inataka PESAA ndio hivyo..... yaani imekaa hivyo.

Tukifika mbinguni kwa baba tutajua cha kufanya kwa mujibu wa MATAKWA YA MBINGUNI, lakini kwa sasa tuko duniani na tutafanya kwa mujibu wa MATAKWA YA DUNIANI.
 
Hama wachungaji vijana wamekuja na mafundisho yao huku wakiponda mafundisho ya wachungaji wa zamani. Sasa hata wachungaji wazee nao wametekwa na wachungaji vijana. Wazee wameacha kufundisha injili waliyofundisha mwanzo, wanafundisha injili iliyopoa. Wenye hela ndio huonekana ni wasafi na hutukuzwa na kupewa vyeo vya mbeleni. Muumini kama huna hela utaonekana ni mtenda dhambi, utatengwa na hata kufukuzwa kuwa unafanya uzinzi na una mambo ya kipagani
Ila hii ni hatua nzuri, huko tunakoelekea wataanza kupigwa makofi mimbarani maana watu wakishajipatia pesa wakaona hazina maana kama ufalme wa Mungu sio kipaumbele watagundua walipotoshwa.
 
Ninachofahamu vitabu kwenye biblia vimewekwa kutokana na nyakati. Mwanzo kinaelezea mambo ya mwanzo na ufunuo mambo ya siku za mwisho na katikati vimejipanga hvyo hvyo kwa kufuata wakati kitabu kimeandikwa.

Huyu mtumishi labda angetoa sababu nyingine ila sio kutumia mpangilio wa vitabu.
 
Wakati huu wachungaji wanamiliki magari hadibya 400M au private jet ndio kipindi qmbacho kiwango cha uovu kiko juu kuliko kipindi wachungaji wanahamasisha ufalme wa Mungu ili mengine tuzidishiwe ikiwemo pesa.

Hapo kuna shida mahala. Pesa ni kitu kidogo sana kama zinamilikiwa hadi na magaidi kumilikiwa na watakatifu ni ishu ndogo sana.

Kuna shida kubwa
Huyo mikutano yake yote anafanya kutafuta pesa. He is dead spiritually. Kupenda pesa.......
 
Back
Top Bottom