Pastor Tony: Kwenda mbinguni sio kipaumbele cha mkristo, Pesa ndio kipaumbele

Pastor Tony: Kwenda mbinguni sio kipaumbele cha mkristo, Pesa ndio kipaumbele

Watu wengi wanatamani waishi maisha marefu wakati huohuo wanazungukwa na madeni hadi yanayaitwa kausha damu, kumbe uwezo wao wa kipata umezidi kiwango cha marejesho, unamuomba Mungu uishi maisha marefu wakati huna pesa, tafuta pesa ili uweze kutimiza malengo ambayo Mungu alikuumba uyatimize vinginevyo bora ufe mapema usitaabike ama kusumbua watu wengine kwa mizinga
😂😂😂😂 Umeongea vizuri sana kiongozi

Nakumbuka baba yangu aliwai niambia "Ni heri ufe kuliko pesa ife ikuwache manaa utateseka sana"

Nakubaliana na wewe hapo mkuu. Lakini mpaka unaona mtu anaingia huko kote mulize kwanza anayo maarifa yakutosha ata juu ya hilo analo lifanya?

Mtu anafanya biashara ili alishe familia. Hela hiyo hiyo iyendeshe biashara na hela hiyo hiyo ipeleke watoto shule ela hiyo hiyo ipeleke chakula nyumbani.

Kiukweli hapa lazima sasa tuanze kusaka miujiza kwa hawa watu na kusaka kuubiriwa tafuta pesa tafuta pesa.

Iko hivi ili uipate pesa nilazima uwe na kitu cha kufanya ambacho hiko kitu ndicho kitakacho leta pesa kwako. Nisawa na kusema.
1. Uwajiriwe au
2. Ujiajiri.

Pesa sasa hapo lazima uivute ije kwako. Umesoma diploma utalipwa sawa na range ya diploma umosoma digri utalipwa sawa na digri.

Manake utapata pesa kulingana na dhamani ulio iweka.

Haya tuje kwa mfanya biashara mfano wewe ni muuza mtumba lazima ujuwe nafanyaje kuongeza thamani ya pesa yangu.

Yani pesa ipogo tu daily lakini unamaarifa kiasi gani kuipata

Sasa ili uwe na maarifa mengi zaidi na ufanye zaidi. Mungu ndie atakupa hayo marifa zaidi ya unavyo fikiri.
 
Namba ya sadaka ni
 

Attachments

  • FB_IMG_16781542529941418.jpg
    FB_IMG_16781542529941418.jpg
    34.9 KB · Views: 2
😂😂😂😂 Umeongea vizuri sana kiongozi

Nakumbuka baba yangu aliwai niambia "Ni heri ufe kuliko pesa ife ikuwache manaa utateseka sana"

Nakubaliana na wewe hapo mkuu. Lakini mpaka unaona mtu anaingia huko kote mulize kwanza anayo maarifa yakutosha ata juu ya hilo analo lifanya?

Mtu anafanya biashara ili alishe familia. Hela hiyo hiyo iyendeshe biashara na hela hiyo hiyo ipeleke watoto shule ela hiyo hiyo ipeleke chakula nyumbani.

Kiukweli hapa lazima sasa tuanze kusaka miujiza kwa hawa watu na kusaka kuubiriwa tafuta pesa tafuta pesa.

Iko hivi ili uipate pesa nilazima uwe na kitu cha kufanya ambacho hiko kitu ndicho kitakacho leta pesa kwako. Nisawa na kusema.
1. Uwajiriwe au
2. Ujiajiri.

Pesa sasa hapo lazima uivute ije kwako. Umesoma diploma utalipwa sawa na range ya diploma umosoma digri utalipwa sawa na digri.

Manake utapata pesa kulingana na dhamani ulio iweka.

Haya tuje kwa mfanya biashara mfano wewe ni muuza mtumba lazima ujuwe nafanyaje kuongeza thamani ya pesa yangu.

Yani pesa ipogo tu daily lakini unamaarifa kiasi gani kuipata

Sasa ili uwe na maarifa mengi zaidi na ufanye zaidi. Mungu ndie atakupa hayo marifa zaidi ya unavyo fikiri.
Mungu alishatupa maarifa ni uzembe wetu mimi kuna kitu na kifuatilia kwasasa nacho ni kwanini binadamu akipata pesa za kutosha akili ya kuzitafuta zingine zinazimika, vile vile maskini akipata matako hulia mbwata

Mimi mara nyingi hunikuta mfano ninakuwa sina hata mia mfukoni unapata elfu sitini kwa mfano unashangaa baada ya siku chache hiyo pesa ,hakuna Tena siku 2 ama tatu, hata ukipata 10m unashangaa zinapo karibia kuisha Ndiyo akili ya kuzitafuta zingine inarudi,

kwakifupi binadamu akipata changamoto akili hufanya kazi kwa kiwango cha juu sana, yaani akipata tatizo akili inafanya kazi na alivyo mzembe akili hizo hizo zinazo muwezesha kupata ama kutafuta pesa anapokuwa na changamoto hazitumii kila siku

Hitimisho lazima tuwe na pesa Ili tuishi maisha ya kumpendeza Mungu Tena hata hawo wachungaji watakupenda na kukuombea, hahaha 😂

Money speaks louder than words, to have money is a good feeling, when I have money My mind becomes very free

Ukiwa na pesa utapendwa na watu wengi kama huna pesa unakuwa ni adui, wenye pesa waacheni wale vinono hahaha
 
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.

Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
👇👇👇👇👇

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?

Mpaka sasa wajinga ndio wanakariri kuwa kuna mbingu. Niwaondoe ujinga, mbinguni ni hapa duniani, ukiishi vizuri ni mbinguni na ukiishi kwa mateso ni motoni
 
Mpaka sasa wajinga ndio wanakariri kuwa kuna mbingu. Niwaondoe ujinga, mbinguni ni hapa duniani, ukiishi vizuri ni mbinguni na ukiishi kwa mateso ni motoni
Wanaishi kwa matumaini, ambayo hayapo ,eti wengine wanamuomba Mungu waishi maisha marefu huku wanaishi kwa kuteseka, hawana chakula yaani ni shida tupu, kausha damu Ndiyo suruhuhisho ya maisha yao.

Badala ya kuumiza kichwa kubuni chanzo sahihi cha kujiingizia kipato watu wanakuwa wavivu wa kufikiri na kuangukia kwenye mikono ya wakausha damu hahaha, zamani mbona mikopo haikuwepo na tulimudu vizuri maisha
 
Unadhani nini kimetufikisha hapa?
Hizi ni nyakati za mwisho na muda umesogea sana hivyo na shetani ana muda mchache wa kuendelea kuudanganya ulimwengu hivyo basi mahubiri ya watu kufanya toba na kuishi maisha matakatifu yanaelekea kukosa mvuto kwa watu wengi tu.
Kwa kifupi shetan naye yupi kazini na watenda kazi wake.
Siku za mwisho hizi upendo wa wengi umeshapoa!!!
 
Anasema ndio maana kitabu kinachohusu watu kwenda mbinguni (ufunuo) kimewekwa mwisho kwa maana sio kipaumbele cha Mungu.

Kipaumbele cha mcha Mungu ni Hela au Pesa. Anasema hata ukimuita popote atatetea hoja yake.
👇👇👇👇👇

View: https://vm.tiktok.com/ZMkHPdmAq/

My take.
Miaka ya mwanzoni mwa tisini karibu wachungaji wote walikuwa wanazungumzia mbinguni, uzuri wake na msisitizo wa waumini kuwa na vision ya maisha zaidi ya duniani.

Ghafla miaka ya elfu mbili mwanzoni wakahamia kwenye usomi. Kila mchungaji anajitutumua kuonekana anaMasters au PHD.

Miaka ya mwishoni mwa elfumbili na 10 wote wamehamia kwenye utafutaji. Msisitizo mkubwa umekuwa ni pesa. Wao wanashindana magari ya gharama, wanashindana kutafuta ukaribu na matajiri zaidi ili wajipatie pesa. Dharau kwa wasio nacho na kauli kebehi kwa w3nye vipato vya chini zimepamba moto. Makanisa yanakuwa kama mavuguvugu ya kuhamasisha uyafutaji na sio ukiroho.

Unadhani nini kimetufikisha hapa?

Kosa la wakristo duniani hapa ni kuondoka kwenye lile Kanisa la kwanza la asili la Yesu Kristo na kuanzisha "makanisa" yao.
 
Huyo mikutano yake yote anafanya kutafuta pesa. He is dead spiritually. Kupenda pesa.......
Hivi kwani Kuna wakati amekuwa hai kiroho! mm siku zote najua ni mhuni flani tu mwenye kipaji cha kukusanya watu Kwa kutumia neno la Mungu ili apate maisha
 
Back
Top Bottom